Wapoti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 2,824
- 1,095
Jamani wabakaji TZ ni wengi wengine. Wamebaka mpaka watoto wao. Naombeni ushahidi wa adhabu iliyowahi kutolewa kwao japo wa nne tu kati ya 2000. YAANI KWA BABU SEYA KUNA MKONO WA MTU ila wahusika wasisahau kuwa. ATAWALAYE KWA UPANGA HUFA KWA UPANGA