MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Juma Kaseja / Beno Kakolanya
2. Shomary Kapombe / Hassan Ramadhan Kessy
3. Mohamed Hussein Tshabalala
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude / Mohamed Issa Banka
7. Simon Msuva / Salim Ayei
8. Abubakari Salum / Frank Domayo
9. Abdillahi Yusuph / Idi Nado
10. Mbwana Samatta
11. Ally Ng'anzi / Hassan Dilunga
Kuna Ushindi wa Goli 2 kwa 1 au 1 kwa O katika Kipindi cha Kwanza hivyo tunatakiwa tuwawahi kwani ndiyo Nyota yetu ya Ushindi inavyosema kwa Mchezo wa leo, ila kama hatutashinda ndani ya dakika 45 za Kwanza kwa aina ya Uchawi wa Kufuru ambao Waburundi nao wameufanya ( kwani nao hawatanii na wamejipanga vilivyo ) basi kuna uwezekano wa Taifa Stars ikafungwa Goli / Bao 1 tu.
Hiki Kikosi nilichokitaja hapo naomba Kizingatiwe tafadhali na Watu wa Benchi la Ufundi wapewe haraka asubuhi hii hii na wakifanya tu Mabadiliko basi yawe ni hayo tu ambayo nimeyaweka hapo juu na siyo mengineyo. Huyu ' Babu ' huwa hakosei na hajawahi Kuniangusha hivyo TFF msipuuze bali mlizingatie na muwe makini.
Kila la Kheri.
2. Shomary Kapombe / Hassan Ramadhan Kessy
3. Mohamed Hussein Tshabalala
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude / Mohamed Issa Banka
7. Simon Msuva / Salim Ayei
8. Abubakari Salum / Frank Domayo
9. Abdillahi Yusuph / Idi Nado
10. Mbwana Samatta
11. Ally Ng'anzi / Hassan Dilunga
Kuna Ushindi wa Goli 2 kwa 1 au 1 kwa O katika Kipindi cha Kwanza hivyo tunatakiwa tuwawahi kwani ndiyo Nyota yetu ya Ushindi inavyosema kwa Mchezo wa leo, ila kama hatutashinda ndani ya dakika 45 za Kwanza kwa aina ya Uchawi wa Kufuru ambao Waburundi nao wameufanya ( kwani nao hawatanii na wamejipanga vilivyo ) basi kuna uwezekano wa Taifa Stars ikafungwa Goli / Bao 1 tu.
Hiki Kikosi nilichokitaja hapo naomba Kizingatiwe tafadhali na Watu wa Benchi la Ufundi wapewe haraka asubuhi hii hii na wakifanya tu Mabadiliko basi yawe ni hayo tu ambayo nimeyaweka hapo juu na siyo mengineyo. Huyu ' Babu ' huwa hakosei na hajawahi Kuniangusha hivyo TFF msipuuze bali mlizingatie na muwe makini.
Kila la Kheri.