Babati pikipiki wanaudhi kwa kelele: Mamlaka zimekaa kimya tu labda NEMC muingilie kati

ambagae

JF-Expert Member
Mar 2, 2009
3,243
1,301
Nilibahatika kupita na kukaa kama siku nne Babati na kisha kupata chakula na kinywaji kwenye migahawa na Bar za Babati. Kilichonishangaza ni jinsi waendesha pikipiki wanavyosababisha makusudi pikipiki zao kupiga kelele hususani wanapofika kwenye maeneo ambayo yana watu wao hapo ndo huonyesha jinsi walivyoziwezesha pikipiki zao kupiga kelele. Viongozi hili jambo sijui hawalioni hata tu kusikia.
 
Asilimia 99.8 ya waendesha pikipiki za biashara wana matatizo ya afya ya akili
 
Asilimia 99.8 ya waendesha pikipiki za biashara wana matatizo ya afya ya akili
Kweli kabisa maana huwa najiuliza hivi wanafurahiaje kelele kama hizo hawajui kama wanajiletea uziwi siku za mbeleni.
 
Kweli kabisa maana huwa najiuliza hivi wanafurahiaje kelele kama hizo hawajui kama wanajiletea uziwi siku za mbeleni.
Kushinda juani

Kushinda kwenye vumbi

Kupigwa upepo

Kukoswa koswa ajali


Hizi lazima zikuletee misongo, sonona ambazo husababisha magonjwa ya afya ya akili ie schizophrenia
 
umekaa siku nne unalalamika wanaoishi makazi ya kudumu wako kimya je kama ni utamaduni wao?
 
Jina lenyewe limekaa kivurugu.
BABA - Bababababababababa
TI - Tiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Mlio wa engine plus honi,, Somaa hiyooo.
 
Back
Top Bottom