MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Kuna jamaa alikuwa bado hakuwahi kusex hadi kufikia kuoa. Wakati arusi ikikaribia, ilibidi amtake ushauri baba yake ajue afanye nini na vipi.
Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu kikuuuubwa. Wewe mkifika 6x6 tafuta ile kitu ilipo, chomeka mche. Mimi nitakuwepo nje maeneo na ngoma ndogo ambayo nitakuwa ninaipiga taratibu wewe utacheza kufuatisha midundo yake".
Siku ilipofika, mtoto akafata ushauri, hakukawia kugundua ni wapi, akachomeka mche na kuanza kufuatisha midundo ya ngoma. Lakini shughuli ilipokolea midundo ya babake ikawa inaenda pole pole sana kulinganisha na kasi aliyokwisha kamata. Ikabidi amwambie baba yake BABA CHANGANYAAAAA!!!
Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu kikuuuubwa. Wewe mkifika 6x6 tafuta ile kitu ilipo, chomeka mche. Mimi nitakuwepo nje maeneo na ngoma ndogo ambayo nitakuwa ninaipiga taratibu wewe utacheza kufuatisha midundo yake".
Siku ilipofika, mtoto akafata ushauri, hakukawia kugundua ni wapi, akachomeka mche na kuanza kufuatisha midundo ya ngoma. Lakini shughuli ilipokolea midundo ya babake ikawa inaenda pole pole sana kulinganisha na kasi aliyokwisha kamata. Ikabidi amwambie baba yake BABA CHANGANYAAAAA!!!