Baba changanyaaaaa!!

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,604
Kuna jamaa alikuwa bado hakuwahi kusex hadi kufikia kuoa. Wakati arusi ikikaribia, ilibidi amtake ushauri baba yake ajue afanye nini na vipi.
Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu kikuuuubwa. Wewe mkifika 6x6 tafuta ile kitu ilipo, chomeka mche. Mimi nitakuwepo nje maeneo na ngoma ndogo ambayo nitakuwa ninaipiga taratibu wewe utacheza kufuatisha midundo yake".

Siku ilipofika, mtoto akafata ushauri, hakukawia kugundua ni wapi, akachomeka mche na kuanza kufuatisha midundo ya ngoma. Lakini shughuli ilipokolea midundo ya babake ikawa inaenda pole pole sana kulinganisha na kasi aliyokwisha kamata. Ikabidi amwambie baba yake BABA CHANGANYAAAAA!!!
 
Kuna jamaa alikuwa bado hakuwahi kusex hadi kufikia kuoa. Wakati arusi ikikaribia, ilibidi amtake ushauri baba yake ajue afanye nini na vipi.
Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu kikuuuubwa. Wewe mkifika 6x6 tafuta ile kitu ilipo, chomeka mche. Mimi nitakuwepo nje maeneo na ngoma ndogo ambayo nitakuwa ninaipiga taratibu wewe utacheza kufuatisha midundo yake".

Siku ilipofika, mtoto akafata ushauri, hakukawia kugundua ni wapi, akachomeka mche na kuanza kufuatisha midundo ya ngoma. Lakini shughuli ilipokolea midundo ya babake ikawa inaenda pole pole sana kulinganisha na kasi aliyokwisha kamata. Ikabidi amwambie baba yake BABA CHANGANYAAAAA!!!






hahhahahahahahhahhahahhaahhhaha baba komaaaaaaaaaaa!
 
Kwa hiyo kama dingi akiendelea kupiga ngoma hadi jioni itakuwaje?
Si ndo mwanzo wa ku-collapse, halafu lawama kwa dingi?
 
Kama ndio baba ningekuwa napiga ngoma uku nalìa, badae namwambia dogo zamu yako na wewe upige ngoma na mimi nijivue gamba
 
jamani hivi ile shughuli inahitaji mafunzo? Nani aliye wafunza kuku?
Kuna hata msemo "mwana wa kuku havunzwi kuchakura", vivyo hivyo mtoto mchanga havunzwi kutia dole mdomoni. Jokes mbali lakini ile shughuli inakuja natural.
 
baba changinyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Mh kunamwingine alioa miaka ikapita hapati mtoto. Baba akauliza kuliko ama humlali mkeo? Mtoto akasema mi namlalia kila siku lakini sioni matokeo. Baba akagundua kunatatizo hapa, usiku akapanda darini na kopo lake lenye maji ya moto. Anamwagia kidogo kiunoni jamaa anabonyea ndani kisha anarudi juu. Dingi alipo fanya mara mbili jamaa akanogewa akaanza kuchanganya mwenyewe. Dingi akaropoka, ''kumbe unayaweza!''
 
Kuna jamaa alikuwa bado hakuwahi kusex hadi kufikia kuoa. Wakati arusi ikikaribia, ilibidi amtake ushauri baba yake ajue afanye nini na vipi.
Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu kikuuuubwa. Wewe mkifika 6x6 tafuta ile kitu ilipo, chomeka mche. Mimi nitakuwepo nje maeneo na ngoma ndogo ambayo nitakuwa ninaipiga taratibu wewe utacheza kufuatisha midundo yake".

Siku ilipofika, mtoto akafata ushauri, hakukawia kugundua ni wapi, akachomeka mche na kuanza kufuatisha midundo ya ngoma. Lakini shughuli ilipokolea midundo ya babake ikawa inaenda pole pole sana kulinganisha na kasi aliyokwisha kamata. Ikabidi amwambie baba yake BABA CHANGANYAAAAA!!!
haaaaaahaaa ama baba changanyaaaaaa mpaka------------kielewekeeeee
 
Kuna jamaa alikuwa bado hakuwahi kusex hadi kufikia kuoa. Wakati arusi ikikaribia, ilibidi amtake ushauri baba yake ajue afanye nini na vipi.<br>
Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu kikuuuubwa. Wewe mkifika 6x6 tafuta ile kitu ilipo, chomeka mche. Mimi nitakuwepo nje maeneo na ngoma ndogo ambayo nitakuwa ninaipiga taratibu wewe utacheza kufuatisha midundo yake".<br>
<br>
Siku ilipofika, mtoto akafata ushauri, hakukawia kugundua <em>ni wapi, </em>akachomeka mche na kuanza kufuatisha midundo ya ngoma. Lakini shughuli ilipokolea midundo ya babake ikawa inaenda pole pole sana kulinganisha na kasi aliyokwisha kamata. Ikabidi amwambie baba yake BABA CHANGANYAAAAA!!!
haaaaaahaaa ama baba changanyaaaaaa mpaka------------kielewekeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom