Baba amlawiti mwanae Kilimanjaro

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Dec 6, 2006
3,020
577
Source: Radio One Taarifa ya Habari ya Saa1 Asubuhi leo.

Polisi Mjini Moshi wanamshikilia baba mmoja aitwaye Idd Hashim kwa kumnajisi mtoto wake wa kufikia mwenye miaka 6 anayesoma katika shule ya Msingi ya Kahe darasa la Pili. Ilidaiwa na mwendesha mashitaka kwama baba huyu alitenda tendo hilo wakati mama ya mtoto akiwa kaenda shambani mchana wa saa sita nyumbani kwake Madukani, alimwita mtoto huyo chumbani, akamziba mdomo na kisha kutimiza kulitumikia pepo lake la ngono mchana kweupe huku mtoto akishindwa kujitetea. Baba huyo akiwa tayari kawa mwepesiiiiii, anahifadhiwa kwenye kituo cha polisi wakati uchunguzi wa kipolisi ukiwa unaendelea.
 
Source: Radio One Taarifa ya Habari ya Saa1 Asubuhi leo.

Polisi Mjini Moshi wanamshikilia baba mmoja aitwaye Idd Hashim kwa kumnajisi mtoto wake wa kufikia mwenye miaka 6 anayesoma katika shule ya Msingi ya Kahe darasa la Pili. Ilidaiwa na mwendesha mashitaka kwama baba huyu alitenda tendo hilo wakati mama ya mtoto akiwa kaenda shambani mchana wa saa sita nyumbani kwake Madukani, alimwita mtoto huyo chumbani, akamziba mdomo na kisha kutimiza kulitumikia pepo lake la ngono mchana kweupe huku mtoto akishindwa kujitetea. Baba huyo akiwa tayari kawa mwepesiiiiii, anahifadhiwa kwenye kituo cha polisi wakati uchunguzi wa kipolisi ukiwa unaendelea.

Watu wengine bana sijui vipi!

We unachukua njochoro yako unaiingiza kwa mtoto wa miaka 6 unafaidi nini sasa pale enheeee? Mbona moshi kuna totoz poa sana, totoz za kichaga ni visenti vyako tu basiiii unakula mzigo kama una-nawa vileee huyo jamaa au alikuwa anatimiza masharti ya kwa mganga? sasa atajiju na akitoka huko miaka 30 atakuta huyo mtoto ameshaolewa na yeye aje kulea wajukuuuu!

NB: TAMAA MBAYAAAAAA by Twenty per (20%) Wasugulieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Anaitwa Iddi Hashim! Unajifunza nini hapo? Jana nikiwa kwenye daladala nimemsikia Shekh akisema waziwazi kwa redio104 FM kwamba "nyuma kumetengenezwa kwa ajili ya kutolea vitu visivyofaa kutoka tumboni, wewe unaingiza vitu vyako nani kakwambia unaingizia hapo? Wanaume hasa wa siku hizi na wanawake pia mjue Mungu hataki."

Hakuna aliyefungua mdomo, wnaume kadhaa wakawa wanatabasamu, mimi nikabaki kuchekea kwa ndani baada ya kukagua sura za watu wote niliokuwa nao karibu wake kwa waume, walijifanya kama hawasikii kabisa wakati dereva wa daladala aliweka sauti ya juu kweli kweli. Tena Shekh alikuwa anaongea kwa kiswahili akichomekea na kiarabu kwa chati.

Makanisani pia yanasemwa kwamba wafiraji hawataurithi ufalme wa Mungu, alisema Mtume Paulo. Watu hatusikiiiii!!! Kama inzi aliye radhi kufia kwenye kidonda. Jamani dhambi ni tamuuuu!
 
Hivi nyie kaka (samaki mmoja akioza tenga zima linaelekea kuharibika ati) zangu kuna nini, mbona wamama wapo, wadada wazuri sana wapo mnaamua kurudi kwa watoto wadogo jamani, nini hii sasa.
 
Source: Radio One Taarifa ya Habari ya Saa1 Asubuhi leo.

Polisi Mjini Moshi wanamshikilia baba mmoja aitwaye Idd Hashim kwa kumnajisi mtoto wake wa kufikia mwenye miaka 6 anayesoma katika shule ya Msingi ya Kahe darasa la Pili. Ilidaiwa na mwendesha mashitaka kwama baba huyu alitenda tendo hilo wakati mama ya mtoto akiwa kaenda shambani mchana wa saa sita nyumbani kwake Madukani, alimwita mtoto huyo chumbani, akamziba mdomo na kisha kutimiza kulitumikia pepo lake la ngono mchana kweupe huku mtoto akishindwa kujitetea. Baba huyo akiwa tayari kawa mwepesiiiiii, anahifadhiwa kwenye kituo cha polisi wakati uchunguzi wa kipolisi ukiwa unaendelea.

Hawa jamaa zetu bwana.....hapa naona umuhimu wa sharia....angekatwa uume wake!
 
hivi watu wengine wakoje jamani sasa unapomlawiti mwanao wakati una mke hii ni kweli una kili timamu au wendawazimu aah huyu bora afungwe maisha tu ndo sawa kaniuzi kweli.
 
Mtu kama huyo miaka 37 ni kidogo, auwawe tu.

Mods, huyu mtu anayejiita FaizaFoxy yuko kwenye ignore list yangu na sikumbuki kama nimemfungulia. How comes michango yake inaingia kwangu? Please check and take action accordingly, bahati mbaya sitaki vichefuchefu mimi!!!!

Naomba umpotezee tafadhali!!!

Thanks in advance.

Tib
 
Back
Top Bottom