Amos David Mathiasii
Member
- Sep 4, 2022
- 87
- 148
Inasikitisha sana kwamba wanawake wa sasa hivi hakuna tofauti kati ya wa duniani na wa Kanisani. Wengi wao wamekuwa ni kama malaya wanaojitongozesha kila sehemu. Hii imetokana na uvaaji wa kikahaba ulio kubuhu ambao bila kuvaa hivyo wanawake wengi wanaona ni kama hawajapendeza.
Kwanini mwanamke avae nguo ambayo kwenye eneo la maziwa kuna mpasuo mkubwa unaonyesha mstari wa matiti? Lengo lako ni nini hasa kwa kutuonyesha matiti yako? Ifikie mahali wanawake wote mnaovaa ovyo mjitambue.
Hala utamkuta anavaa hicho kisidiria kinachomuonesha maziwa yake hadi mbele ya baba yake bila aibu na kumsabibishia hadi mzee wake amuwakie mwanae kwa tamaa. Na kwa wazee ambao wanapitiwa unakuta anambaka au kumfanya mapenzi na binti yake mwisho wa siku watu wanalaumu lakini kumbe chanzo ni binti yake mwenyewe.
Instagram utawakuta wengi sana wamejiachia vifua vyao halafu kuna watu wanawasifia. Ndiyo maana wengi wao hawaolewi wanaishia kwa wanaume wanaopita kumalizia haja zao na kutembea. Wanawake amkeni, kuvaa nguo zinazowaonyesha maungo yenu inavutia wanaume wa kuzini na kufanya uasherati nao na siyo wa kukuoa. Utachezewa hayo maziwa hadi yatakuwa kama ndala.
Mwingine utakuta amevaa suruali mbele ya baba yake, tena bila uoga tena akitembea anajitikisa. Hii ni laana na kuonyesha kizazi cha sasa hivi cha wanawake kilivyopotoka.
Mwanamke akikaa uchi anaona ndiyo amependeza, halafu huyo huyo anadai 50 kwa 50. Wanawake jitambueni, heshima ya wanawake ipo katika kuvaa vizuri na kujitunza, acheni kuvaa mavazi ambayo yatawafanya watu wawaze kufanya ngono na nyinyi .
Kama nilivyosema moja wapo ya madhara hutaolewa bali watu watatimiza haja zao za ndoa na kukuacha. Wanaume ni wajanja sana, watatafuta yule wa kawaida anayevaa vizuri nguo za heshima, sababu mavazi ya mtu yanaeleza hata tabia ya mtu. Wataishia kukutumia na wanaoshindwa kukupata wataenda kukupigia punyeto, utapata laana kwa sababu yao.
Kwa ufupi, nguo za kushika mwili wa mwanamke na kuonyesha maungo kama mapaja, maziwa, sijui shepu, nguo zenye mpasuo uliozidi, nguo ambazo ukienda sokoni huwezi ukainama ukachagua bidhaa zilizopo chini, na nguo zinazoonesha michoro ya chupi na suruali kwa wanawake hazioneshi uzuri wowote kwako, bali zinazoonesha jinsi gani akili yako imetawaliwa na umalaya uliyokubuhu.
Na hautaolewa na mbinguni huendi ukiendelea kuvaa hizo nguo za kikahaba.
Jifunzeni hiyo picha ya tatu.
Kwanini mwanamke avae nguo ambayo kwenye eneo la maziwa kuna mpasuo mkubwa unaonyesha mstari wa matiti? Lengo lako ni nini hasa kwa kutuonyesha matiti yako? Ifikie mahali wanawake wote mnaovaa ovyo mjitambue.
Hala utamkuta anavaa hicho kisidiria kinachomuonesha maziwa yake hadi mbele ya baba yake bila aibu na kumsabibishia hadi mzee wake amuwakie mwanae kwa tamaa. Na kwa wazee ambao wanapitiwa unakuta anambaka au kumfanya mapenzi na binti yake mwisho wa siku watu wanalaumu lakini kumbe chanzo ni binti yake mwenyewe.
Instagram utawakuta wengi sana wamejiachia vifua vyao halafu kuna watu wanawasifia. Ndiyo maana wengi wao hawaolewi wanaishia kwa wanaume wanaopita kumalizia haja zao na kutembea. Wanawake amkeni, kuvaa nguo zinazowaonyesha maungo yenu inavutia wanaume wa kuzini na kufanya uasherati nao na siyo wa kukuoa. Utachezewa hayo maziwa hadi yatakuwa kama ndala.
Mwingine utakuta amevaa suruali mbele ya baba yake, tena bila uoga tena akitembea anajitikisa. Hii ni laana na kuonyesha kizazi cha sasa hivi cha wanawake kilivyopotoka.
Mwanamke akikaa uchi anaona ndiyo amependeza, halafu huyo huyo anadai 50 kwa 50. Wanawake jitambueni, heshima ya wanawake ipo katika kuvaa vizuri na kujitunza, acheni kuvaa mavazi ambayo yatawafanya watu wawaze kufanya ngono na nyinyi .
Kama nilivyosema moja wapo ya madhara hutaolewa bali watu watatimiza haja zao za ndoa na kukuacha. Wanaume ni wajanja sana, watatafuta yule wa kawaida anayevaa vizuri nguo za heshima, sababu mavazi ya mtu yanaeleza hata tabia ya mtu. Wataishia kukutumia na wanaoshindwa kukupata wataenda kukupigia punyeto, utapata laana kwa sababu yao.
Kwa ufupi, nguo za kushika mwili wa mwanamke na kuonyesha maungo kama mapaja, maziwa, sijui shepu, nguo zenye mpasuo uliozidi, nguo ambazo ukienda sokoni huwezi ukainama ukachagua bidhaa zilizopo chini, na nguo zinazoonesha michoro ya chupi na suruali kwa wanawake hazioneshi uzuri wowote kwako, bali zinazoonesha jinsi gani akili yako imetawaliwa na umalaya uliyokubuhu.
Na hautaolewa na mbinguni huendi ukiendelea kuvaa hizo nguo za kikahaba.
Jifunzeni hiyo picha ya tatu.