CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
- Thread starter
- #61
Mkuu hapa umepiga PENTAGON!! Hii kitu asilimia 90% hawathubutu wanaendelea kuwa na FIKRA ya biashara bila ya kuifanyia kazi!!
UOGA nia adui mkubwa wa maendeleo ila watu hawalielewi hili!!!
Kwa msemo wa Lema uoga ni zambi mbaya sana, kila mtu utakaye kutana naye ana wazo la biashara sasa mwambie aaanze.
Mimi kwa kweli kwa sasa sina mpango wa kuajiriwa kamwe, nimefanya kazi miaka kama minne hakuna cha maana nilicho pata, so nishaamua kuchom meli moto na sitarudi nyuma pamoja na changamoto za kufa mtu ninazo kutana nazo, sitakua na U-TURN