nimeshuhudia leo katika uwanja wa PR School Ngaresero CCM wakitukana na kusema Chadema wanamimba,Dr Slaa ana mimba na watajifungua tarehe 1 April...
Aliyesikia mengine tafadhari tuwajulishe Watanzania waone CCM hatua waliofikia sasa...
Nawasilisha...
Niye watu, mmeifanya siku yangu iwe nzuri!
Lema alikuwa anaku'gutwa kwa nyuma akiwa gerezani ndio maana alikuwa hataki kutoka - lusinde
Lema alimuita mgombea wa CCM kuwa sio riziki...