TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Jamani watanzania wengi wanaitaji kumuona dr slaa..km kuna mtu anajua ratiba ya dr,bas atufahamishe lin ataenda huko lindi,mtwara,ruvuma.najua ruvuma alienda songea na mbinga masharik tu,vp kuhusu mbinga magharibi ambako nasikia chadema inanguvu na vp kuhusu tunduru na Namtumbo..chadema musijidangaye kuwa maeneo haya hayana kura za dr.zipo kura nying sana..shime chadema mpeleken dr maeneo haya.