Habari nilizozipata na kuzifanyi uchunguzi zinaonyesha kuwa baada ya Walimu walio wengi kuondolewa katika zoezi la Sensa na kuwaweka vijana waliomaliza Chuo na wengine Form sita na St Kayumba wengi wao wamechukua chao na Kusepa na sasa wasimamizi wa wakuu wanahangaika kupigia waalimu walio waacha ili waje kuziba pengo. Ama kweli ile hadithi ya SIZITAKI MBICH HIZI ili hali unazitaka.................Source vituo vya sensa na wasimamizi wakuu.