Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,956
- 12,409
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.
Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.
Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.
Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.
Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.
Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.
I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.
Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.
Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini 👇
Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.
Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?
Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?
Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?
Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?
Ndugu wanaJF wenzangu, najua leo tar 26/10, asilimia 95 ya wanasiasa wote Tanzania waliopo ndani na nje, akili zao, macho yao, masikio yao na fikra zao zipo katika ufuatiliaji wa kile kinachoenda kufanywa, au kusemwa na kijana Makonda.
Tumeshuhudia watu wengi (hasa wazalendo wa kweli) wakifurahia uteuzi wake, ambao unakwenda kufungua mlango wa kijana huyo kurudi tena siasani, na kuwadhibiti wale wote wanaokwenda kinyume na misingi ya nchi yetu.
Lkn pia kama ilivyo ada, uteuzi wake pia haukupendwa na watu wachache wanaoongozwa na yule makamu mwenyekiti wa chama fulan, unaweza mwita mzalendo uchwara anaeishi maisha yake kupitia michango ya watu mbali mbali haswa wale wafuasi wake masikini wa kipato na kifikra.
Yes namwita mzalendo uchwara kwa sababu mzalendo wa kweli mwenye kuipenda nchi yake, kamwe hawezi kuishi nje ya nchi na familia yake.
Mfano halisi wa mzalendo wa kweli ni baba wa taifa hayati mwl Julius. K, Nyerere ambae alikuwa tayari kuacha kazi yake ya ualimu huko makelele Uganda, na kuamua kurudi nyumbani na familia yake, ili kujumuika na watanganyika wenzake kupigania uhuru wa nchi yake.
Pia tumeona baba wa taifa la Afrika kusini alivyopigania uhuru wa nchi yake, bila kuikimbizia Ulaya au popote familia yake.
I mean mzalendo wa kweli huwa hakimbii changamoto za kwao, bali hupambana kutafuta njia ya kuzimaliza.
Kuna msemo unasema rafiki au ndugu wa kweli ni yule mnaeshirikiana nae katika nyakati zote za shida na raha. Sio mtu ukiwa na shida anakukimbia kwenda kwa wale wenyevipato, alaf baadae anakuhadaa kuwa anakupenda huku akiwa hana msaada wowote kwako wa kifedha wala mawazo.
Anyway tuachane na sifa za huyu mzalendo uchwara, tujikite kwenye mada husika hapo chini 👇
Tumeona jinsi uteuzi wa kijana huyo ulivyomtoa makamu mwenyekiti huyo pangoni, na kuanza kusema maneno yasioeleweka mithili ya mtu anaetolewa mapepo kanisani. Inasemekana makamu huyo ameandaa vijana wa kumchafua muenezi huyo kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii, magazeti, redio nk.
Cha kujiuliza hapa, Je ni kwanini upande ule unatumia nguvu kubwa kumshusha mtu asiewezekana kushushwa?
Ni kwanini hizo nguvu zisitumike kutangaza sera za chama ili kuvuna wanachama?
Kwa mwendo wa namna hii wakati tumebakisha mwaka mmoja harakati za uchaguzi zianze, Je chama chao kikiangukia pua watatuhadaa tena kwamba wameibiwa kura?
Au watajilaumu wenyewe kwa kupoteza muda mrefu kupambana na watu badala ya kutangaza sera ili kujenga chama?