Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,833
- 71,300
Acha upumbavu bwana! Kwani kuitwa kivutio ni tusi? Hujui hata hoja za mtu zaweza kuwa kivutio kwa watu? Jinsi anavyoshambulia jukwaa sio kivutio?Huo ni mkwara Mbuzi tu
Hujamtendea haki Tundu Lisu kwa kumuita Kivutio!
Ujinga na upumbavu wekeni huko katika hoja zenu, hii ilikuwa maalum imeletwa tufahamu ratiba ya chama chetu pendwa ili tujipange.
Hoja zako nyingi pamoja na kujaa ujinga umewahi muona mleta hoja akizichafua?
Acha hizo!