Baada ya TCRA kuzuia local channels, Chaneli za Kigeni zinazotumia Kiswahili zashika usukani. Kenya yatawala soko

ila mimi kwa ufahamu wangu,naona kama TCRA wako sawa walivyo fanya sema viburi vya jamaa hawa ndo wametukomoa sijui sijaelewa, yani nafahamu kwamba channel zote local za ndani zilitakiwa ziwe free alafu za njee ndo ulipie kama unataka yani kama zamani tulivyo kua kwa analog ukitoa anttena yako njee unapata channel bure, ukitaka zanjee una nunua kingamuzi na kulipia ndo nilivyo kua najua mimi,sasa hivi vingamuzi famous wamegoma.
Umeelewa kinyume mkuu! Vingamuzi vya Azam,Dstv na zuku HAVIRUHUSIWI kuonesha chaneli za ndani!! Hata ukilipia milioni bado hutaona chaneli nyingine zaidi ya Tbc! Grasp that!
 
Na kusema ulipie steshen ulizokuwa unaangalia mwanzo ni ubinafsi, mi sitaki kulipia na sipendi kulipia sasa utaniconvisi vipi nikuelewe
 
Nafikiri hatua za TCRA ilikuwa ni kwa faida ya walalahoi ambao sometimes kulipia hata package ndogo ni shida. Kama kuna taratibu zilikiukwa ni vizuri tukaunga mkono hili ingawa tunakosa tv zetu pendwa. Kama local channel zile tano zitakuwa bure haitakuwa jambo dogo wakuu. Hebu wakati mwingine tujue nini tunapaswa kusimama na serikali na wapi tukosoe. Kama ipo njia nyingine muafaka kwa serikali kuzibana hizi taasisi tushauri lakini binafsi naona itasaidia walalahoi ambao kulipia kila mwezi si rahisi.
Kuna wale wenye madish makubwa ambayo sio ya kulipia nao wanaendelea kuinjoi.
 
Awamu hii kumekuwa na kauli za visingizio vya kuwasaidia walahoi huku hao walala hoi ndio wanaoteseka. Unaondoa local channel kwenye vingamuzi vinavyopatikana all over Tanzania na kutuletetea mavingamuzi hata yanapatikana wapi hatujui ni ujinga. Pili baishara iwe uria anayependa kulipia aende azam ,dstv, zuku, na asiyependa kulipia aende huko kwingine. Mtu atoke sokoni kwa kukosa wateja kulingana na huduma anayotoa. Ona sasa vijijini kote na mikoa mbalimbali hatupati matangazo yoyote ya ndani. Kama nia yenu tuangalie TBC ,mmechemka.
 
Maisha Magic East wako vizuri. TBC inahitaji maombi. Haina kipindi kinachoweza kumconvice mtazamaji aweke makalio yake chini aitazame.
do hivi TBC siyo local channel?. mbona wanalazimiisha kila provider kuomyesha.watu tumekuwa watumwa kwa kutazama channel za nchi nyingine.Zeeworld ya series za kiswahili ni balaa pia kuna movie channel kama trybe,ROK,epic nk. bila kusahau KTN,citizens,k24.
 
Sifahamu aliyewashauri TCRA kutenda waliyoyafanya , kama ni mkono wa mtu basi kafanikiwa na hongera zake , Kiukweli pamoja na ving'amuzi vingi kubaki na TBC pekee watanzania hawataki kabisa kuangalia Channel hii , na kwa uchunguzi wangu wa valuvalu nilioufanya unaonyesha kwamba ukitaka taarifa zako zisiwafikie walengwa basi tangaza TBC 1 , bado sijafahamu hasa kisa cha watanzania kuisusia TV hii inayoendeshwa kwa kodi zao.

Lakini cha ajabu sasa Channel za Kiswahili kutoka Nairobi zikiwemo K24 , KBC , KTN NEWS zikiongozwa na KTN ndio zinazotazamwa mno na watanzania hasa wanaotumia AZAM na DSTV channels zenye watazamaji lukuki nchini Tanzania

Nachukua nafasi hii kuwashauri wafanyabiashara wenzangu kujaribu kutangaza bidhaa zao na Channels kutoka Kenya maana ndio zinazobamba hasa nchiniTanzania .
Sijawahi kuwaheshimu TCRA kwa vile kimsingi, wametunga sheria, zikapitishwa na Bunge, lakini hawana ujuzi, weledi wala uzoefu katika tasnia ya habari na teknolojia yake.

Wao ni kufunga vituo na kuvifungua, kwa sheria walizotunga.
Zaidi ya hapo ni mambumbumbu mzungu wa reli.
Naunga mkono hoja, sasa ni kutazama K24, Citizen Tv, KTN,NTV, KBCTV.

NI mtu mjinga tu anajifunga goli asijue jinsi ya kujirekebisha.
Sasa hivi niko KBC1 nikimtazama Lionel Richie, splendid indeed!
 
Awamu hii kumekuwa na kauli za visingizio vya kuwasaidia walahoi huku hao walala hoi ndio wanaoteseka. Unaondoa local channel kwenye vingamuzi vinavyopatikana all over Tanzania na kutuletetea mavingamuzi hata yanapatikana wapi hatujui ni ujinga. Pili baishara iwe uria anayependa kulipia aende azam ,dstv, zuku, na asiyependa kulipia aende huko kwingine. Mtu atoke sokoni kwa kukosa wateja kulingana na huduma anayotoa. Ona sasa vijijini kote na mikoa mbalimbali hatupati matangazo yoyote ya ndani. Kama nia yenu tuangalie TBC ,mmechemka.
Kwanini mkuu unapenda kulipalipa, mi sipendi nataka free station nizione kwenye visimbusi, wasiotaka kuweka free station basi, ila watakaoweka tuzione for free, mi sipendi kulipia stesheni maana tangu nazaliwa nimekulia kwenye free station, na iwe hivyo milele, lasivyo waeleweke tu hamna free station tuanze kulipa
 
Nafikiri hatua za TCRA ilikuwa ni kwa faida ya walalahoi ambao sometimes kulipia hata package ndogo ni shida. Kama kuna taratibu zilikiukwa ni vizuri tukaunga mkono hili ingawa tunakosa tv zetu pendwa. Kama local channel zile tano zitakuwa bure haitakuwa jambo dogo wakuu. Hebu wakati mwingine tujue nini tunapaswa kusimama na serikali na wapi tukosoe. Kama ipo njia nyingine muafaka kwa serikali kuzibana hizi taasisi tushauri lakini binafsi naona itasaidia walalahoi ambao kulipia kila mwezi si rahisi.
Naungana na wewe mkuu, ila watu ni wabishi saana. Hawaelew hata sheria zinasemaje kuhusu local channels
 
do hivi TBC siyo local channel?. mbona wanalazimiisha kila provider kuomyesha.watu tumekuwa watumwa kwa kutazama channel za nchi nyingine.Zeeworld ya series za kiswahili ni balaa pia kuna movie channel kama trybe,ROK,epic nk. bila kusahau KTN,citizens,k24.
Wanatulazimisha kuitazama TBC halafu wanashindwa kuendana na kasi ya soko. Tutaangalia channel za nje tu ndo kilichobaki
 
do hivi TBC siyo local channel?. mbona wanalazimiisha kila provider kuomyesha.watu tumekuwa watumwa kwa kutazama channel za nchi nyingine.Zeeworld ya series za kiswahili ni balaa pia kuna movie channel kama trybe,ROK,epic nk. bila kusahau KTN,citizens,k24.
Mkuu tbc ni kama prerequisite
 
Sijawahi kuwaheshimu TCRA kwa vile kimsingi, wametunga sheria, zikapitishwa na Bunge, lakini hawana ujuzi, weledi wala uzoefu katika tasnia ya habari na teknolojia yake.

Wao ni kufunga vituo na kuvifungua, kwa sheria walizotunga.
Zaidi ya hapo ni mambumbumbu mzungu wa reli.
Naunga mkono hoja, sasa ni kutazama K24, Citizen Tv, KTN,NTV, KBCTV.

NI mtu mjinga tu anajifunga goli asijue jinsi ya kujirekebisha.
Sasa hivi niko KBC1 nikimtazama Lionel Richie, splendid indeed!
"Everyone is entitled to freedom of speech, even when the speech is a total pile of crap"
 
Awamu hii kumekuwa na kauli za visingizio vya kuwasaidia walahoi huku hao walala hoi ndio wanaoteseka. Unaondoa local channel kwenye vingamuzi vinavyopatikana all over Tanzania na kutuletetea mavingamuzi hata yanapatikana wapi hatujui ni ujinga. Pili baishara iwe uria anayependa kulipia aende azam ,dstv, zuku, na asiyependa kulipia aende huko kwingine. Mtu atoke sokoni kwa kukosa wateja kulingana na huduma anayotoa. Ona sasa vijijini kote na mikoa mbalimbali hatupati matangazo yoyote ya ndani. Kama nia yenu tuangalie TBC ,mmechemka.
Si rahisi kwa mtu yeyote mwenye akili timamu kuangalia TBC
 
Kwani, HIVI WAKUU HIZI SHERIA ZILITUNGWA UPYA BAADA YA MKUU KUINGIA MADARAKANI, AU ZILIKWEPO HIVYO BASI TCRA WAMEAMUA TU KUENFORCE THE LAWS, aah wananchi hawaelewi kabisa yani!!! Daah kazi ipo
 
Back
Top Bottom