ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,833
At Last The wait is over.
Rais Dk. Samia ataanza ziara ya kikazi ya Mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindia kuanzia tarehe 14-20 mwezi Septemba 2023.
Hii itakuwa ni ziara yake ya kwanza Mikoa ya Kusini toka awe Rais mwaka 2021.
Watu wa Lindi na wabunge wenu msiache kupaza sauti Ili Rais atie msukumo wa kufungua Barabara ya kulinganisha Lindi na Mtwara na Mikoa ya Kati, Kanda ya Ziwa na Kaskazini Kupitia Morogoro & Iringa.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1702331083189350690?t=gIhpoqMq2b13d3YY-MdxmQ&s=19
My Take
Rais Samia Ukimaliza Kusini tembelea pia Mikoa ya Katavi,Rukwa,Songwe,Singida,Manyara,Ruvuma, Morogoro na Tabora.
Hatutarajii awamu hii mfukoze ule Moshi wenu,Kila la heri.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1702321892504543573?t=0I0VoaTlSaLrYS_1_2n3hg&s=19
Rais Dk. Samia ataanza ziara ya kikazi ya Mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindia kuanzia tarehe 14-20 mwezi Septemba 2023.
Hii itakuwa ni ziara yake ya kwanza Mikoa ya Kusini toka awe Rais mwaka 2021.
Watu wa Lindi na wabunge wenu msiache kupaza sauti Ili Rais atie msukumo wa kufungua Barabara ya kulinganisha Lindi na Mtwara na Mikoa ya Kati, Kanda ya Ziwa na Kaskazini Kupitia Morogoro & Iringa.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1702331083189350690?t=gIhpoqMq2b13d3YY-MdxmQ&s=19
My Take
Rais Samia Ukimaliza Kusini tembelea pia Mikoa ya Katavi,Rukwa,Songwe,Singida,Manyara,Ruvuma, Morogoro na Tabora.
Hatutarajii awamu hii mfukoze ule Moshi wenu,Kila la heri.
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1702321892504543573?t=0I0VoaTlSaLrYS_1_2n3hg&s=19