Baada ya rufaa, Mahakama yaamuru DOWANS kulipwa fidia na TANESCO bilioni 96

Kuna watu wanakosa uzalendo kwa kiwango cha kushangaza. Inaudhi sana! Si kama hawana akili, wanakosa uzalendo tu.

what if tungekubali ushauri wa ZZK kuinunua mitambo ya dowans tungekuwa bado tunasimuliana stori hizi??wapi Sitta,Slaa,Shelukindo na wale wote waliojipambanua kama wapambanaji wa ufisadi??mbona wamekaa kimya wakati nchi inanyolewa na mafisadi?sawa,walikuwa sahihi kupinga ule mkataba ambao ulikuwa wa kifisadi but ndo hivyo tena sheria ilikuwa upande wao coz waliouingia walitumia udhaifu wa sheria zetu.
 
Godwin Ngwilimi mwanasheria mkuu wa Tanesco. Huyuhuyu alikuwa mwanasheria mkuu wa Vodacom. Vodacom inamilikiwa na Rostam Aziz. Richmond inamilikiwa na Rostam Aziz. Richmond ilinunuliwa na Dowans...ambayo nayo inamilikiwa na Rostam Aziz. Godwin Ngwilimi leo yuko Tanesco kuhakikisha nini? deni la Dowans linalipwa na wana mtu wao kwenye jiko. Labda kwa vile sisi ni Watanzania ndio maana tunaona kuna kesi kati ya Tanesco na Dowans...!!!

Duh!! What goes around comes around! Hii "episode" inaonekana kuwa ya mwisho na starring Rostam Aziz ataibuka kidedea (Mungu apishe mbali)! Mungu atusaidie kupata "regime" nyingine, ya sasa imetushinda!
 
hapa ndo watakapoona umuhimu wa yale mawazo ya Zitto na Dr. Idris Rashid. na kwamba waliona mbali ila mazezeta waliowengi wakaleta porojo sasa tunaumia wote. inaudhi kweli hii kitu.
 
S.M.P2503 kaitk ayote tumshukuru Mungu kwa kutadhibu kwa kifo kisingekuwepo kifo tungeumizana sana....................lakini kifo ndiyo the greatest equalizer.....................aliyekula jana na alikyekual aleo na takayekula kesho wote hawajala njaa yawauma.........

Tanesco wakifa .. labda itawasaidia kufufuka kwa matumaini mapya.. kifo kitawafanya wajipange upya na waje kivingine kuliko kung'ang'ania kuwalipa Dowans ili hali wanasema hawana fedha na sijui hizo za advance wamezitoa wapi... walipa Kodi wetu ndo wanaumizwa na sijui ni kwa nini hatuna TAX PAYERS alliance ambazo zinaweza kuwakilisha au kusimamia matumizi bora ua kodi zetu na kuhakikisha kila kitu serikali inachofanya kwa jina la walipa kodo i good value for money kuliko mtidno wa sasa wa serikali kujiamulia mambo kiholela holela tu...

Labda na sijui ni kwa nini TANESCO haikuomba mgao wa Stimulus PACKAGE au yenyewe haikuathirika kwa namna moja au nyingine? na kama waliomba ni kwa nini shirika hili lisindeshwe kwa ufanisi sasa... limekuwa na petty project za wakubwa tu na cash cow ya watu wa serikali...

Ipo siku lazima Tanesco litakufa tu maana kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho.. ni masaula ya muda tu na kama hawataki kulifanya mfilisi ipo siku tu litazikwa .. mark my word...
 
Duh!! What goes around comes around! Hii "episode" inaonekana kuwa ya mwisho na starring Rostam Aziz ataibuka kidedea (Mungu apishe mbali)! Mungu atusaidie kupata "regime" nyingine, ya sasa imetushinda!

Buchanan.. huyu Rostam aibuke kidedea mara ngapi? hivi hamtaki kuamini hado sasa ni kidedea na ndio maana amesema mambo ya uchwara anayaweka pembeni maana kaisha jua mlija uko mbioni kuingia kinywani... ya nini kuhangaika wakati uhakika wa ushindi tayari kaisha upata katika contract ya mwanzo kabisa amabayo ilisema ICC - Paris ndio msuluhishi?
 
Tanesco wakifa .. labda itawasaidia kufufuka kwa matumaini mapya.. kifo kitawafanya wajipange upya na waje kivingine kuliko kung'ang'ania kuwalipa Dowans ili hali wanasema hawana fedha na sijui hizo za advance wamezitoa wapi... walipa Kodi wetu ndo wanaumizwa na sijui ni kwa nini hatuna TAX PAYERS alliance ambazo zinaweza kuwakilisha au kusimamia matumizi bora ua kodi zetu na kuhakikisha kila kitu serikali inachofanya kwa jina la walipa kodo i good value for money kuliko mtidno wa sasa wa serikali kujiamulia mambo kiholela holela tu...

Labda na sijui ni kwa nini TANESCO haikuomba mgao wa Stimulus PACKAGE au yenyewe haikuathirika kwa namna moja au nyingine? na kama waliomba ni kwa nini shirika hili lisindeshwe kwa ufanisi sasa... limekuwa na petty project za wakubwa tu na cash cow ya watu wa serikali...

Ipo siku lazima Tanesco litakufa tu maana kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho.. ni masaula ya muda tu na kama hawataki kulifanya mfilisi ipo siku tu litazikwa .. mark my word...

S.M.P2503 Solar energy technology ndiyo tiawafungisha virgo hawa majambazi na tatizo lipo Ikulu ambako viwavi jeshi ndiyo huteuliwa kuja kutufilisi na sera za majitaka...............
 
Yaani hawa mawakili na Tanesco hawana hata aibu ya kusimama kwenye court na kusema sababu za kitoto kama hizi wakitegemea jaji atawasikiliza. Mimi ninafikiri wanarefusha tu mambo kwa makusudi huku wakiendelea kupata usafiri wa bure na shopping London na mifuko yao ya suruali ikiendelea kujaa.

Kama kweli ni wazalendo. Just shut the company and then, open in another name. Toka lini deni likaua.
 
Wana mtandao hebu tuweke kando itikadi zetu za kisiasa.Tuwe wazalendo,tutafute tatizo sugu la deni la Dowans nani wa kulaumiwa.Aidha kuna uhusiano gani kati ya Richmond, Dowans na Symbion Power.Je serikali itumie njia gani kulikwepa manake halilipiki.
 
Litalipika JK akiondoka madarakani na yy ndio atalilipa cha msingi tubadilishe uongozi wa nchi na tuimalishe Bunge liwe na meno.
 
Maumivu juu ya maumivu.Deni hili ni la Watanzania na ndiyo sisi wenyewe tumeiweka Serikali madarakani, Majuto ni Mjukuu.
 
Tatizo Wabongo ni waoga sana, Na haya yanafanywa kwa sababu Serikali inafahamu fika Wananchi hawana cha kufanya, Wabongo Maneno mengi sana halafu Vitendo ni Sifuri, Ukiena kwenye vijiwe vya Kahawa,ni Complain tu, Hotelini, kwenye mabaa, Vyuoni, sokonikakazalika sasa njoo kwenye Vitendo huwaoni hata mmoja na baala yake wanabakia kusubili Taarifa za habari za Saa Mbili waone Maandamano yalivyo fanyika, au wana simama pembeni ya Barabara na kuanza kushangaa, Huu ni Ujinga na haya mambo ya Kulia lia humu nayo ni Ujinga wa hali ya Juu kabisa, na ni unafiki na uoga wa Konokono
 
Pesa ya kampeni hiyo, kina Pasco, Utaifa kwanza, Ritz, Sumu, Mwampamba na timu yao ya kutibua hoja jf wataripuka sana kwa kapelo, flana na skafu kalikali.
 
Back
Top Bottom