Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Baada ya kukataa sana kuoa huku nikidai kuoa ni anasa na ni gereza kwa mwanaume, hasara kwenye maisha ya mwanaume, na ajira ya faida kwa mwanamke. Sasa naona sina budi kukubaliana na kuoa nafsi yangu inaniamuru sana nitafute mwanamke mwingine wa kitofauti sana ni oe na nitulie niachane na maswala ya ujana sasa.
Kweli najua wanawake wanazingua sana maana hata sasa na wanawake kadhaa na nimejifunza mengi sana kwao.
Nimetendwa sana na kudharauliwa na baadhi yao ila sasa acha tuu nije kuoa. Ndugu zangu nimegundua kuoa ni jambo jema sana japo sishauri muoe, wewe sikiliza nafsi yako. Nafsi yangu inaniambia ni oe.
Naombeni maombi yenu nije kupata mke mwema huko ni endako, sikatai tena kuoa mimi nimejigundua kuoa ni wito mmoja wapo niliowekewa hapa duniani.
Kila jioni nikitoka mihangaikoni na kurejea nyumbani, kila usiku nikishtuka usingizini na kila asubuhi ni kiamka lazima nione ndani kwangu kuna kitu kimepungua ambacho ni mwanamke.
Hakika nimepungukiwa na mwanamke ndani ya nyumba yangu sasa acha nitafute mmoja anayejielewa niweke ndani haijalishi atanipitisha magumu kiasi gani ila nitamchukulia kama chombo dhaifu kisicho na nguvu na nitatumia akili kuishi nae, isipo kua asichepuke tuu maana sito msamehe akichepuka na nikithibitisha.
MWENYEZI MUNGU NITANGULIE NA UNIPE MKE MWEMA ILA ASIWE AMESHA ZAA NA MWANAUME MWINGINE . AMINA
Kweli najua wanawake wanazingua sana maana hata sasa na wanawake kadhaa na nimejifunza mengi sana kwao.
Nimetendwa sana na kudharauliwa na baadhi yao ila sasa acha tuu nije kuoa. Ndugu zangu nimegundua kuoa ni jambo jema sana japo sishauri muoe, wewe sikiliza nafsi yako. Nafsi yangu inaniambia ni oe.
Naombeni maombi yenu nije kupata mke mwema huko ni endako, sikatai tena kuoa mimi nimejigundua kuoa ni wito mmoja wapo niliowekewa hapa duniani.
Kila jioni nikitoka mihangaikoni na kurejea nyumbani, kila usiku nikishtuka usingizini na kila asubuhi ni kiamka lazima nione ndani kwangu kuna kitu kimepungua ambacho ni mwanamke.
Hakika nimepungukiwa na mwanamke ndani ya nyumba yangu sasa acha nitafute mmoja anayejielewa niweke ndani haijalishi atanipitisha magumu kiasi gani ila nitamchukulia kama chombo dhaifu kisicho na nguvu na nitatumia akili kuishi nae, isipo kua asichepuke tuu maana sito msamehe akichepuka na nikithibitisha.
MWENYEZI MUNGU NITANGULIE NA UNIPE MKE MWEMA ILA ASIWE AMESHA ZAA NA MWANAUME MWINGINE . AMINA