Baada ya mkutano wa Mdude CHADEMA na waandishi wa habari yafuatayo ni wazi sasa

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
Baada ya kuusikiliza kwa umakini mkutano wa Mdude Chadema na waandishi wa habari hivi, mambo yafuatayo ni dhahiri:

1. Mpaka sasa bado akili ya Mdude haijawa sawa kumwezesha kutaja watuhumiwa kwa hoja zaidi ya mihemko na hisia zake na Chadema za siku nyingi kwa Serikali. Baadhi ya Mambo yanaonesha kukosekana kwa utimamu wa Afya ya akili yake ni kitendo cha yeye mwenyewe kukiri "bado akili halijakaa vizuri " pamoja kukosa kumbukumbu kuhusu mkasa uliomkuta.

2. Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM kwamba kuna mahala Taifa liliacha wajibu wake wa kuandaa viongozi imejidhihirisha, Mdude ameulizwa na Mwandishi wa habari kuhusu matumizi ya maneno makali na ya kutukana kupitia kwenye makala zake anazoandikaga kwa Rais, akajibu yeye hajui tofauti ya maneno yanayoonesha kutukana, kukosoa kumbuka huyu ni kiongozi wa oganizesheni ya mafunzo na itikadi KANDA ya Nyasa na hapa ndipo naona ni kwa namna gani Bavicha kama chombo kinachopaswa kuandaa vijana kimaadili ikiwemo kuheshimu viongozi wa kitaifa haijatimizanwajibu wake n.k

3. Kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu ukweli wa kile alichokisumulia mfano alizimia kwa siku tatu alipoamka akawa anahisi njaa (akaomba apatiwe soda na bisukuti), anaeleza alikuwa anapigwa na chupa za bia kwa maelezo yake ya awali akiwa hospital, kitu cha kujiuliza mbona hana michubuko yoyote usoni? Mara alimsimamisha bodaboda akaenda kusimama umbali mfupi kama MITA 100!!!

4. Mkanganyiko mwingine ni alipozimia watekaji walimziba mdomo kwa bandeji na solotepu na kisha walimfunga pingu mkononi na kumpiga miguuni. Hapa unajiuliza hawa watekaji walikuwa binadamu au majini maana kwa kawaida mtu hufanyiwa vitu hivyo akiwa mzima ili kumdhibiti sasa kwa aliyezimia unakuwa unatafuta nini?

5. Jambo la mwisho wakati anazungumza kuna wakati alikuwa anatoa sauti ya kilio PASIPO kutoa MACHOZI wataalamu wa masuala ya saikolojia tukio hilo wanaweza kulitafsiri kuwa hakuwa na uhusiano wa mwonekano wake wa nje na ndani zaidi ya kuigiza.

Miongoni mwa posti alizowahi kuchapisha ni hii hapa.

IMG_1790.jpg
 
kwanza alisema kaomba maji mara ishakuwa soda na biskuti. alafu mtu akizima anafungwa pingu na kupigwa kisa nini??? Jamaa anatusimulia series then anajaribu kutuongopea kuwa ni siasa
 
Nimependa uliyoyaandika..

Ana akili timamu na kachemsha kwenye gemu walilopanga tangu limepwaya la kudanganya katekwa.

Ndio njia zao siku hizi za kutafuta kiki.. na njia ya kutaka kumpaka matope Rais wetu ili eti waje wachaguliwe wao kuongoza nchi.. huku wakipokea bahasha za khaki kufanya vitimbwi vyao hivi..

Shukurani kwa kutueleza maana wengine na sie hatujaiona bado.
 
Wauaji katika nchi hii utawajua kwa kuanzisha thread za kuwapinga waliotekwa najua hata lissu akijieleza pumbavu kama hili litasema anadeka, hivi mleta mada ikitokea mama yako leo akapatwa na janga la kubakwa na wahuni inamaana kesho akiwaeleza watoto wake nawe ukiwemo chochote kuhusu wale wanaoamini wamehusika inamaana utakataa kwa sababu akili yake itakuwa haipo sawa?

Kwa hiyo wewe baada ya kuona mnavuliwa nguo ndo umefurumuka kuja kutetea upumbavu mlioufanya wa kumteka mdude? Nakwambia haupo salama ni muda tu.
 
Basi wenyewe mnaona raha sana kwa mateso mliyompa na maumivu makali aliyobaki nayo.

Amin nawaambieni kizazi hiki hakitapita bila nyinyi kulipwa ujira wenu kwa maovu mnayotenda
 
Nimependa uliyoyaandika..

Ana akili timamu na kachemsha kwenye gemu walilopanga tangu limepwaya la kudanganya katekwa.

Ndio njia zao siku hizi za kutafuta kiki.. na njia ya kutaka kumpaka matope Rais wetu ili eti waje wachaguliwe wao kuongoza nchi.. huku wakipokea bahasha za khaki kufanya vitimbwi vyao hivi..

Shukurani kwa kutueleza maana wengine na sie hatujaiona bado.

Hujambo bibie? Ulikuwa ukinikosha sana kwenye ile michango yako ya nyuma na mwisho unamalizia na kile kibwagizo cha "makonda oyee" Enzi hizo mada ya uhakiki wa vyeti feki ikiwa imepamba moto kweli kweli! Ulimpigania sana jamaa!
 
Nimependa uliyoyaandika..

Ana akili timamu na kachemsha kwenye gemu walilopanga tangu limepwaya la kudanganya katekwa.

Ndio njia zao siku hizi za kutafuta kiki.. na njia ya kutaka kumpaka matope Rais wetu ili eti waje wachaguliwe wao kuongoza nchi.. huku wakipokea bahasha za khaki kufanya vitimbwi vyao hivi..

Shukurani kwa kutueleza maana wengine na sie hatujaiona bado.
Sasa kama ujaona, unaandika nini......unapenda mambo ya hovyo hovyo.....In Job Ndungai voice...
 
Baada ya kuusikiliza kwa umakini mkutano wa Mdude Chadema na waandishi wa habari hivi, mambo yafuatayo ni dhahiri:

1. Mpaka sasa bado akili ya Mdude haijawa sawa kumwezesha kutaja watuhumiwa kwa hoja zaidi ya mihemko na hisia zake na Chadema za siku nyingi kwa Serikali. Baadhi ya Mambo yanaonesha kukosekana kwa utimamu wa Afya ya akili yake ni kitendo cha yeye mwenyewe kukiri "bado akili halijakaa vizuri " pamoja kukosa kumbukumbu kuhusu mkasa uliomkuta.

2. Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM kwamba kuna mahala Taifa liliacha wajibu wake wa kuandaa viongozi imejidhihirisha, Mdude ameulizwa na Mwandishi wa habari kuhusu matumizi ya maneno makali na ya kutukana kupitia kwenye makala zake anazoandikaga kwa Rais, akajibu yeye hajui tofauti ya maneno yanayoonesha kutukana, kukosoa kumbuka huyu ni kiongozi wa oganizesheni ya mafunzo na itikadi KANDA ya Nyasa na hapa ndipo naona ni kwa namna gani Bavicha kama chombo kinachopaswa kuandaa vijana kimaadili ikiwemo kuheshimu viongozi wa kitaifa haijatimizanwajibu wake n.k

3. Kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu ukweli wa kile alichokisumulia mfano alizimia kwa siku tatu alipoamka akawa anahisi njaa (akaomba apatiwe soda na bisukuti), anaeleza alikuwa anapigwa na chupa za bia kwa maelezo yake ya awali akiwa hospital, kitu cha kujiuliza mbona hana michubuko yoyote usoni? Mara alimsimamisha bodaboda akaenda kusimama umbali mfupi kama MITA 100!!!

4. Mkanganyiko mwingine ni alipozimia watekaji walimziba mdomo kwa bandeji na solotepu na kisha walimfunga pingu mkononi na kumpiga miguuni. Hapa unajiuliza hawa watekaji walikuwa binadamu au majini maana kwa kawaida mtu hufanyiwa vitu hivyo akiwa mzima ili kumdhibiti sasa kwa aliyezimia unakuwa unatafuta nini?

5. Jambo la mwisho wakati anazungumza kuna wakati alikuwa anatoa sauti ya kilio PASIPO kutoa MACHOZI wataalamu wa masuala ya saikolojia tukio hilo wanaweza kulitafsiri kuwa hakuwa uhusiano wa mwonekano wake wa nje na ndani zaidi ya kuigiza.
Siku ya kikukuta ndio utakapo jua popo ni ndege au mnyama
 
Ndio njia zao siku hizi za kutafuta kiki.. na njia ya kutaka kumpaka matope Rais wetu ili eti waje wachaguliwe wao kuongoza nchi.. huku wakipokea bahasha za khaki kufanya vitimbwi vyao hivi..
Naona wauaji mnazidi kujidhihirisha kwa kazi zenu zinazobarikiwa na yule shetani mwenzenu mwenye umbo la binadamu njooni mniteke na mimi niwavunje magoti na viuno kama zakaria alivyowavunja na kuwatia ulemavu wale shetani wenzenu ambao hawakutaka kujitambulisha ndipo walipotenguliwa viuno na magoti wakajitaja sasa kiukweli mkija kwangu hamtabaki hai hata mmoja nitawafumua medula mtangulie kuzimu nyambafu
 
Baada ya kuusikiliza kwa umakini mkutano wa Mdude Chadema na waandishi wa habari hivi, mambo yafuatayo ni dhahiri:

1. Mpaka sasa bado akili ya Mdude haijawa sawa kumwezesha kutaja watuhumiwa kwa hoja zaidi ya mihemko na hisia zake na Chadema za siku nyingi kwa Serikali. Baadhi ya Mambo yanaonesha kukosekana kwa utimamu wa Afya ya akili yake ni kitendo cha yeye mwenyewe kukiri "bado akili halijakaa vizuri " pamoja kukosa kumbukumbu kuhusu mkasa uliomkuta.

2. Kauli ya Katibu Mkuu wa CCM kwamba kuna mahala Taifa liliacha wajibu wake wa kuandaa viongozi imejidhihirisha, Mdude ameulizwa na Mwandishi wa habari kuhusu matumizi ya maneno makali na ya kutukana kupitia kwenye makala zake anazoandikaga kwa Rais, akajibu yeye hajui tofauti ya maneno yanayoonesha kutukana, kukosoa kumbuka huyu ni kiongozi wa oganizesheni ya mafunzo na itikadi KANDA ya Nyasa na hapa ndipo naona ni kwa namna gani Bavicha kama chombo kinachopaswa kuandaa vijana kimaadili ikiwemo kuheshimu viongozi wa kitaifa haijatimizanwajibu wake n.k

3. Kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu ukweli wa kile alichokisumulia mfano alizimia kwa siku tatu alipoamka akawa anahisi njaa (akaomba apatiwe soda na bisukuti), anaeleza alikuwa anapigwa na chupa za bia kwa maelezo yake ya awali akiwa hospital, kitu cha kujiuliza mbona hana michubuko yoyote usoni? Mara alimsimamisha bodaboda akaenda kusimama umbali mfupi kama MITA 100!!!

4. Mkanganyiko mwingine ni alipozimia watekaji walimziba mdomo kwa bandeji na solotepu na kisha walimfunga pingu mkononi na kumpiga miguuni. Hapa unajiuliza hawa watekaji walikuwa binadamu au majini maana kwa kawaida mtu hufanyiwa vitu hivyo akiwa mzima ili kumdhibiti sasa kwa aliyezimia unakuwa unatafuta nini?

5. Jambo la mwisho wakati anazungumza kuna wakati alikuwa anatoa sauti ya kilio PASIPO kutoa MACHOZI wataalamu wa masuala ya saikolojia tukio hilo wanaweza kulitafsiri kuwa hakuwa uhusiano wa mwonekano wake wa nje na ndani zaidi ya kuigiza.
Dah
 
Back
Top Bottom