nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,687
- 9,869
Nikaanza kukumbuka dhambi nilizowahi kufanya na kutubu.
Cha ajabu nimekuwa na uwezo wa kukumbuka moja baada ya nyingine.
Lakini iliyonishangaza zaidi ni hii ya UZINZI...aisee kumbe nimetembea na wanawake wengi sana.
Wengi sana siwakumbuki majina lakini nawakumbuka sura,tukio na mahala nilipofanyia UZINZI.
Nikachukua kalamu na karatasi na kuanza kufanya hesabu....mpaka Sasa nimefikia 126 na bado naendelea kukumbuka.....
NOTE BEFORE:
hapa nimewajumuisha dada poa.
Cha ajabu nimekuwa na uwezo wa kukumbuka moja baada ya nyingine.
Lakini iliyonishangaza zaidi ni hii ya UZINZI...aisee kumbe nimetembea na wanawake wengi sana.
Wengi sana siwakumbuki majina lakini nawakumbuka sura,tukio na mahala nilipofanyia UZINZI.
Nikachukua kalamu na karatasi na kuanza kufanya hesabu....mpaka Sasa nimefikia 126 na bado naendelea kukumbuka.....
NOTE BEFORE:
hapa nimewajumuisha dada poa.