Mwehu uyoMbona unayoandika tofauti na ninachosikia redioni
Hivi sheria ya mitandao bado ipo hai?!!Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.
Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.
Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.
- Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
- Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
- Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
- Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
- Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.
Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Kabisa watu wengine wanajifanya kuwajua wenzao kuliko hata wao wanavojijuaUmeumbuka kweupe vibaya sana, muache tabia za kusemea mioyo ya watu!!
Acha porojo wewe.Ruge sio wa hivyo hope umejionea alivoongea ukweli kama Director.Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.
Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.
Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.
- Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
- Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
- Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
- Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
- Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.
Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
hahahahah, amekuaibisha na upupu wako uliondika, nimemsikiliza nadhani alichoongea ni cha ukweliKatika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.
Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.
Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.
- Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
- Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
- Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
- Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
- Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.
Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Yaani Ruge amemaliza mchezo. Km kichuyaSIJUI KUHUSU HILO ATAKALOONGEA RUGE, LAKINI KWAMBA MAKONDA AMETETEWA KWENYE CLOUDS 360 LEO HII TAREHE 20/3/2017 SIO KWELI, NIMEANGALIA KIPINDI NA SIJASIKIA MAHALI AKITETEWA- SINA HAKIKA KAMA UMEANGALIA WEWE MWENYEWE AU UMEHADITHIWA!!
Kabisa watu wengine wanajifanya kuwajua wenzao kuliko hata wao wanavojijua
We vip kanye mbele uko usiniaribie siku... Nilichokukosea nini hasaHuna unalolijua hivyo nyamaza tu halafu nikushauri tu utapoteza bure muda wako na Mimi ambaye kamwe hutoweza kuzijua mbinu zangu ninazozitumia kuweza kulifanikisha NILITAKALO. Nikuhakikishie tu tena kwa kujiamini zaidi kuwa najiona MSHINDI kwa nilichokifanya na huwezi jua yawezekana hata bandiko langu hili pengine aliliona kabla hajaanza kuhojiwa na limeweza kumsaidia kubadilisha upepo.
Na anafunguka kweli na anaongea bila hofu
Ame
hahahahah, amekuaibisha na upupu wako uliondika, nimemsikiliza nadhani alichoongea ni cha ukweli
hahahaWe liongo
We vip kanye mbele uko usiniaribie siku... Nilichokukosea nini hasa