Tetesi: Baada ya kutishwa, Ruge Mutahaba muda mfupi ujao anaenda kupingana na ushahidi uliokuwepo

Status
Not open for further replies.
hajamtetea kabisa, amempasua vipande vipande.....sidhani kama bashite atapona kwa issue hii. asipoadibishwa hakika tunatakiwa kutangaza mfungo wa taifa zime kumsaidia rais wetu.
 
Nyote mnaosema GENTAMYCINE mzushi na mwongo naomba anzeni kwanza na wale ambao jana walikuja humu na threads nyingi wakisema kuwa Ruge Mutahaba alikamatwa na akaenda Central Police na bahati nzuri Ruge Mutahaba muda huu huu amepinga na kasema kuwa hakuenda Central Police na aliishia tu Oysterbay kutoa maelezo. Hivyo kabla ya kukurupuka na GENTAMYCINE basi anzeni kwanza na WAZUSHI wa threads za jana ambazo hata sasa hivi bado zipo na zina trend. Nimefurahi mno Ruge Mutahaba kuweza kufunguka na sasa lengo langu kuu la kutaka kujua ukweli juu ya hili limetimia na sasa sina tena Ugomvi na Mtani wangu Ruge kwani angeenda kinyume nilikuwa tayari nina Makombora yangu ya IBM ( Intercontinental Ballistic Missals ) nimeyaandaa dhidi yake. Ana bahati mno Mtani wangu!

Nimwombe tu Makonda kuwa atoke sasa Kwake Masaki na aende IKULU kwa Rais amwambie kuwa IMETOSHA na atuachie Mkoa wetu kwani kwa maelezo KUNTU ya Ruge ni dhahiri kuwa Paul Christian Makonda HATOSHEI na AMETOKOTA.

Rais JPM fukuza Kazi upesi Makonda.
 
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Hivi sheria ya mitandao bado ipo hai?!!
 
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
Acha porojo wewe.Ruge sio wa hivyo hope umejionea alivoongea ukweli kama Director.
 
Ame
Katika hali ya kushangaza kabisa baada ya tukio zima la kutia aibu kama siyo pia la kusikitisha ambalo lilifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda ( siyo jina lake halisi ) juzi usiku katika Kituo cha tv cha Clouds muda mfupi ujao Bosi na Mkurugenzi wa Vipindi na Utafiti Bwana Ruge Mutahaba anaenda kumtetea Makonda.

Kwa habari za Kiuchunguzi kabisa zinasema kwamba ni kweli tukio lilifanyika na hata Mabosi Wakuu wa Clouds Media Group Kusaga na Mutahaba walikasirishwa mno na Kiktendo kilichofanywa na Makonda lakini baada ya mmoja wao kuitwa na KUTISHWA na wenye Mamlaka na hii nchi hatimaye Ndugu Ruge Mutahaba amekubali KUUPINDISHA ukweli wote ambao kimsingi Watanzania wengi tumeuona.

Katika Interview ambayo Ruge Mutahaba anaenda kuifanya muda mfupi ujao tegemeeni haya yafuatayo:

  1. Anaenda kumtetea kwa nguvu zote Makonda huku akitumia muda mwingi kumsifia.
  2. Anaenda kusema tukio halikutokea Clouds bali lilitengenezwa tu.
  3. Anaenda kusema Makonda hana Uadui na Clouds Media Group.
  4. Anaenda kusema Makonda anafanya Kazi nzuri kwa Tanzania.
  5. Anaenda kumgeuka Mchungaji Gwajima kwa nguvu zake zote.
Ili kuonyesha kuwa Clouds Media Group WAMETISHWA kinyume na hali ambayo ilikuwepo jana asubuhi Ofisini Kwao ambapo karibia Wafanyakazi wote walihamaki na kumlaumu sana Makonda asubuhi hii hii katika Kipindi cha Clouds tv 360 Watangazaji Sam Sasali, Babie Kabae na Hassan Ngoma wametumia muda mwingi kuweza kupinga tukio zima huku wakitucheka sisi Watanzania ambao kiukweli tukio zima tumelipata ile ile juzi usiku na wakimtetea sana Mkuu wa Mkoa Makonda.

Pole sana Ruge Mutahaba najua umetishwa mno jana huku pia ukiogopa kupoteza MASLAHI yako na kibaya zaidi najua umekubali yaishe ILI tu Makonda asiliibue lile sakata lako ambalo nafahamu unalijua mno ambalo linakusaidia pia kukuweka hapa mjini.

Kwa kukusaidia tu tuna Watu wetu hapo hapo Mjengoni Kwako Clouds Media Group ambao wametupa UKWELI wote. Tunasubiri ufanye hiyo propaganda yako ili na sisi tusiopenda UNAFIKI wako / wenu TUFUNGUKE zaidi.
hahahahah, amekuaibisha na upupu wako uliondika, nimemsikiliza nadhani alichoongea ni cha ukweli
 
SIJUI KUHUSU HILO ATAKALOONGEA RUGE, LAKINI KWAMBA MAKONDA AMETETEWA KWENYE CLOUDS 360 LEO HII TAREHE 20/3/2017 SIO KWELI, NIMEANGALIA KIPINDI NA SIJASIKIA MAHALI AKITETEWA- SINA HAKIKA KAMA UMEANGALIA WEWE MWENYEWE AU UMEHADITHIWA!!
Yaani Ruge amemaliza mchezo. Km kichuya
 
Kabisa watu wengine wanajifanya kuwajua wenzao kuliko hata wao wanavojijua

Huna unalolijua hivyo nyamaza tu halafu nikushauri tu utapoteza bure muda wako na Mimi ambaye kamwe hutoweza kuzijua mbinu zangu ninazozitumia kuweza kulifanikisha NILITAKALO. Nikuhakikishie tu tena kwa kujiamini zaidi kuwa najiona MSHINDI kwa nilichokifanya na huwezi jua yawezekana hata bandiko langu hili pengine aliliona kabla hajaanza kuhojiwa na limeweza kumsaidia kubadilisha upepo.
 
Niliwahi kusema katika moja ya uzi ulioanzisha kipindi kilichopita kuhusu Gerson Msigwa nikakwambia lifahamu jambo kwa ufasaha ili upate kulisema vyema. Naona leo umeudhihirisha ujuha wako
 
Huna unalolijua hivyo nyamaza tu halafu nikushauri tu utapoteza bure muda wako na Mimi ambaye kamwe hutoweza kuzijua mbinu zangu ninazozitumia kuweza kulifanikisha NILITAKALO. Nikuhakikishie tu tena kwa kujiamini zaidi kuwa najiona MSHINDI kwa nilichokifanya na huwezi jua yawezekana hata bandiko langu hili pengine aliliona kabla hajaanza kuhojiwa na limeweza kumsaidia kubadilisha upepo.
We vip kanye mbele uko usiniaribie siku... Nilichokukosea nini hasa
Na anafunguka kweli na anaongea bila hofu
 
Ame

hahahahah, amekuaibisha na upupu wako uliondika, nimemsikiliza nadhani alichoongea ni cha ukweli

Lengo langu LIMETIMIA na najiona MSHINDI na pengine nadhani badala ya kupovuka kujifanya mnanishambulia basi MNGENIPONGEZA kwani ujanja nilioutumia ambao kwa upeo wenu mfupi hamtoweza kunielewa GENTAMYCINE.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom