Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wakuu JF.
Hii imetokea maeneo ya Kijitonyama Dar es Salaam Hongera Bar.
Jamaa mmoja alikuwa kalewa na kuanza kuwatolea maneno ya dharau na kejeli vijana wawili waliokuwa wamekaa nae meza jirani.
kuwa nyie masikini mnafanyaje hapa? Wale vijana wakamjibu Bro! Tunakuheshimu..
Jamaa akaendelea kutoa kauli chafu, kijana mmoja akamwambia msalimie mke wako!
Halafu mwambie lile kovu la kwenye paja, pamoja na la mgongoni atapona lini? Halafu napenda sana Dimples zake za kwenye makalio zilivyookaa vizuri.
Jamaa kusikia hivyo akaangusha kilio na kukimbilia kwenye gari lake!
Hii imetokea maeneo ya Kijitonyama Dar es Salaam Hongera Bar.
Jamaa mmoja alikuwa kalewa na kuanza kuwatolea maneno ya dharau na kejeli vijana wawili waliokuwa wamekaa nae meza jirani.
kuwa nyie masikini mnafanyaje hapa? Wale vijana wakamjibu Bro! Tunakuheshimu..
Jamaa akaendelea kutoa kauli chafu, kijana mmoja akamwambia msalimie mke wako!
Halafu mwambie lile kovu la kwenye paja, pamoja na la mgongoni atapona lini? Halafu napenda sana Dimples zake za kwenye makalio zilivyookaa vizuri.
Jamaa kusikia hivyo akaangusha kilio na kukimbilia kwenye gari lake!