Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,088
- 71,573
What's up
Kua makini mkuuWakuu nipo dilema msaada wenu wa hali unahitajika
Baada ya kumfukuzia huyu mwanamke kwa takribani ilikuwa mwaka mzima alikuja kukata shauri na kunitunuku papuchi iliyoshiba imevimba, kitumbua kitumbua kweli
Hapo awali tuliweka ahadi na yeye ndiye alikuwa ameshikilia hapo kwamba sex tutafanya mpaka siku tukifunga ndoa, kwakua nampenda sana nikajisemea sawa lakini nikawa naumia maana nilikuwa nahitaji papuchi
Sasa shida imekuja, ilikuwa mwezi wa tisa ambapo alikubali kunipa mzigo saafi kabisa lakini baada ya hapo amerudi na msimamo ule wa zamani eti mpaka tunge ndoa ndio ntamkula tena
Wakuu huyu binti wa kilokole nimeshindwa kumuelewa kwani maji ashayavulia nguo.. mpaka sasa tunaelekea December bado anaendelea kunibania,
Hapa kutakuja kutokee ndoa kwa namna hii kweli au ndio hivyo huenda kuna maBro wanaendelea kufaidi kimyakimya
Taarifa
Wengi mnaulizia kama alikuwa bikra au used
Kiukweli mzigo ulishatumia tena anaonekana ni mzoefu
Endelea na mipango ya ndoa mkuu alichofanya ni kukuonjesha kitumbua ili uriddhike kwamba hutauziwa mbuzi kwenye gunia aliona akupe usijekukata tamaa kwa kisingizio hujajua radha yake ukichanganya na imani yake ya dini bado mimi naona yuko right.Mkuu unatumiaje ndomu kwa mtu unayefikiria kumuoa?
Kwa upande wa show ilikua ya kibabe saana naamini ila yeye kinachomfanya hivyo ni kwamba anaendelea na msimamo wake mpaka ndoa
Kwamba ile show alinipa kwa bahati mbaya na anajutia kufumuliwa kabla ya ndoa
yote kwa yote sikumkuta bikra
Nakazia!!Mkuu ulikumbuka kutumia ndomu lakini?
Turudi kwenye mada mkuu itakuwa show ilikuwa mbovu hadi ameweza kusahau na kusubiri hadi ndoa!