Baada ya kufunga ndoa, mwezi mmoja baadae anaenda masomoni UK

Duh! Namshauri huyo bwana ajadiliane na huyo mke mtarajiwa kuhusu hili la kuishi UK! mshahara wake ambao ni sawa na USD 1200 kwa maisha ya UK sidhani labda awe na kipato zaidi ya hicho na Suala la MAKAZI na BILLS za hapa na pale awe amefanya utafiti kabla ya kuchukua uamuzi, pia ajiandae kwa maelezo ya kushiba yatakayo washawishi maofisa wa migration wa UK kinyume na hapo wako makini sana kuzuia mtu asiwe mzigo wa serikali yao! Labda ningemshauri hivi, yeye aende mwenyewe amuache mke akiwa mjamzito, nauhakika atakuwa na vilikizo vya hapa na pale hivyo atakuwa na nafasi nzuri ya kuonana na shemeji yetu, na kwa wakati huo itamsaidia ku save hela zaidi ukichukulia shemeji yetu atakuwa na yeye yuko busy na kazi na ujauzito hapo kutakuwa hakuna hofu yoyote! MAISHA UGHAIBUNI NI MAZURI UKIWA BADO UKO NYUMBANI KWENU UKIFIKA LAZIMA UKUTANE NA MABADILIKO YATAKAYOSUMBUA SANA FUTURE! ni hilo tu.

Poa mkuu, jamaa yeye ana scholarship, hela ya mshahara wake ni kwa ajili ya mke. Of course accommodation na msosi sometimes si watachangia!
 
Wengi wameongea suala la mimba, kwa mtizamo wangu kama utampa mkeo ujamzito utafanya zoezo la yeye kuungana na wewe kiwa gumu zaidi.

Hii ni kwa sababu hawa watu wana utaratibu wa point based katika kutoa visa zao. Miaka michache iliyopita kila kichwa cha muombaji aliye nje ya UK kilikuwa kinatakiwa kuwa na uwezo wa si chini ya pound 1500-2000 kwa mwezi. Sina kumbukumbu nzuri ya hii figure, uwezo wa kuwa zaidi ya hii ni mkubwa sana.

Hii ina maana kama mkeo akiwa na mtoto au hata mimba watakwambia uonyeshe uwezo wa kulea watu wawili yaani mama na mtoto. Upande wako sio tatizo kwani tayari unalipiwa. Kumbuka pia kwamba kawaida scholarship haiwezi ku- cover dependant(s) kama hamna ushahidi wa maandishi. Hivyo basi huwezi kusema kwamba uta-share nao au kuwa utajibana, ofisa wa visa lazima atakupiga chini.

Anyway, kuna jamaa yangu yuko huko yeye ni lawyer wa mambo ya uhamiaji kama vipi ni- pm nikuunganishe atakupa maelezo kamili. Kumbuka UK visa ni point based system, ukijua. supporting docs unazotakiwa kuwa nazo unakuwa na uhakika mkubwa wa kupata visa. Hii sio kisema kwamba utakuwa mteja wake la hasha! Sidhani kama ataomba pesa kwa ku-foward attachment(s) mbili tatu kwako. Hivyo ondoa hofu ya malipo.

Unaweza kupata maelezo zaidi katika website yao pia, japo kuna information nyingi sana na nyingine ziko technical kiaina hasa kwa applicant(s) wa kawaida au wapya walioko nje ya UK.
 
Kuna masuala ya haki za binadamu ambayo kama niko sahihi hakuna nchi inaweza kutenganisha mtu na mkewe kwa miaka 4...

Yote kwa yote sioni kwa nini suala kama hili liulizwe JF...hili ni jambo nyeti la kuzungumzwa na mke na mume; hata tumpe ushauri wa akili kiasi gani hauwezi kuyapita matakwa ya mke au mume...wawe na msimamo na maamuzi hiyo ndio challenge ya kwanza kuwapima kama wamekomaa kuingia kwenye ndoa...

Kuna wanawake wao kwao ni shwari kuacha kazi na kumfuata mume kwa miaka 4, (most likely kuwa house wife); kuna wengine hilo ni ndoto...ndio maana nasema maamuzi wanayo wenyewe.

Tena bora waamue mapema kabla ya kufunga pingu za maisha...
 
Tena chance ya kukwaruzana ni kubwa tu wakiwa pamoja...maana mume atamalizia frustration zake za Permanent Head Damage (PhD) kwa mkewe...bora wakae mbali aisee....

simshauri aach kazi aende huko, miaka 4 unaweza kuiona mingi lkn sio mingi kwa kweli,..wanaweza kupanga kutembeleana angalau kila baada ya muda fulani less say three months..
na mtu wa phd huwa anarudi tz mara kwa mara kwa ajili ya data na wakati mwingine anakaa hata miezi 6 hapa tz mfululizo...hata akirudi shule basi haezi kaa zaidi ya mwaka anarudi tena kwa miezi kadhaa...kwa hivo unashitukia tu siku zimeenda na shule imeisha...
labda kwa ssabu wao ni ndoa mpya lkn kwa ndoa ya muda mrefu kunakuwa na macomplications sana kama mana watoto, magari, miradi etc..its headache ni bora mmoja abaki tu
 
Duh! Namshauri huyo bwana ajadiliane na huyo mke mtarajiwa kuhusu hili la kuishi UK! mshahara wake ambao ni sawa na USD 1200 kwa maisha ya UK sidhani labda awe na kipato zaidi ya hicho na Suala la MAKAZI na BILLS za hapa na pale awe amefanya utafiti kabla ya kuchukua uamuzi, pia ajiandae kwa maelezo ya kushiba yatakayo washawishi maofisa wa migration wa UK kinyume na hapo wako makini sana kuzuia mtu asiwe mzigo wa serikali yao! Labda ningemshauri hivi, yeye aende mwenyewe amuache mke akiwa mjamzito, nauhakika atakuwa na vilikizo vya hapa na pale hivyo atakuwa na nafasi nzuri ya kuonana na shemeji yetu, na kwa wakati huo itamsaidia ku save hela zaidi ukichukulia shemeji yetu atakuwa na yeye yuko busy na kazi na ujauzito hapo kutakuwa hakuna hofu yoyote! MAISHA UGHAIBUNI NI MAZURI UKIWA BADO UKO NYUMBANI KWENU UKIFIKA LAZIMA UKUTANE NA MABADILIKO YATAKAYOSUMBUA SANA FUTURE! ni hilo tu.

Ushauri mzuri sana huu mdau. 1200 USD kama anataka kusupport familia ikiwa Bongo ni rahisi sana kuliko ughaibuni. Maisha yetu ya Bongo tunayajua yalivyo. Better stick with the known rather than unknown. And by the look of this issue, it is obvious that the guys has no slight clue of what is happening where he is going.
 
soma pm zako pitia website hiz
UK Border Agency | Can you bring your family?

UK Border Agency | STY01 - Dependants of students and prospective students

angalia hii toka chuo unachoenda http://www.lse.ac.uk/intranet/students/ISIS/currentStudents/DependantsinUK.asp

kila la kheri kwenye ndoa na masomo

waweza omba visa pamoja ila we ukatangulia kutafuta accomodation then akakujoin
ila akibaki mwenyewe bongo kuomba visa inakua shida kidogo
ukimuacha mke huku kwa ndoa mpya we waenda kwa 4 years hiyo itasabaisha ukose peace of mind na kila siku mtaishia kuleteana umbea ndoa itaisha kabla haijaanza, jitahid akujoin

kila la kheri
 
Mkuu utaratibu wa kupata visa ni kuwa na documents sahihi kwa aina ya visa unayoomba.kwa vile mdau umesema amepata sholarship yeye hana tatizo kwa sababu documents zitaonyesha anaweza kumudu maisha ya UK.Ishu ya pili ni jinsi gani mke wake anaweza pata visa ya kwenda na mume wake.hapo atatakiwa kuthibitisha kuwa huyo ni mke wake halali na pia muda tangu ndoa kufungwa na visa ilipoombwa unaweza ukaibua swali kwa immigration officers ingawa inaweza isitokee pia.Atatakiwa kuthibitisha ana uwezo wa kumuhudumia mke wake akiwa kule bila kuhitaji goverment fund or any grannt kutoka uk goverment na wakati mwingine uwezo wa kuhudumia bila kuhitaji kufanya kazi UK.Na document inayohitajika hapa ni bank statement na salary slip yake hiyo, mara nyingi wenzetu wameweka cost za kuishi kila mji.mfano mwaka 2010 kwa kuishi london ilikuwa wanakadiria ni pound 800 kwa mtu mmoja, hvo ilikua inamlazimu kuomba visa kama ji mwanafunzi bank statement yake ionyeshe anaweza kuishi miezi 12 bila kufanya kazi.Na pia hiyo hela iwe imekaa kwenye akaunti muda usiopungua mwezi 1..Kwa mdau hapo amesema anapata mshahara wa usd 1200 ambazo sawa na pauni kama 740 hivi hivyo anaweza nakajipima akaona anafit wapi.p
NB:Ni vyema ukatembelea website yao ukapata taarifa za kutosha mana kila april uwa wanatabia ya kufanya ammendments za sheria/kanuni za uhamiaji.shukrani mkuu
 
mume atangulie kwanza akaanze kusoma na kuandaa mazingira ya mkewe kwenda
Inategema phd yake sponsor ni world bank au chuo au shirika wataishi tu
mke atamfuata baadae atafanya kazi ndogo ndogo za boksi wataishi
kama anaweza kupata likizo bila malipo itasaidia pia ali anaporudi aendelee na kazi yake.
wapo wengi wameenda na wenza wao wakaishi nao na wakasoma pia kama mke hana masters ni rahisi kupata akiwa huko.
 
kama ikishindikana ampe mimba asepe tu,,,,,,,,,,,

Nani kawadanganya MIMBA ndo dawa ya MKE actafunwe! hujui kuwa kuna baadhi ya viTUMBO vinawajiga na hamu yakugegedwa! Itakuwaje ikiwa ham imemjia na Jamaa hayupo cnilazima apate mtu wakumkuna Ukichukulia ako na kitumbo! Kipochi kinafunguliwa PEKU PEKU!
 
Back
Top Bottom