Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Arusha, James Ole Millya, amejivua nyadhifa zake zote ndani ya chama hicho na kujiunga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).Je nini mwerekeo wa UVCCM ?
NYADHIFA GANI ALIZOJIVUA ZAIDI YA UVCC mAGAMBA