Unajua nini, maofisa wa Ikulu kila siku humuweka Dr Jakaya kwenye matatizo alwayz husema mambo yote yako safi kumbe wameshafanya usanii kibao.Mnakumbuka ambulance, mtu akitwa kuchukua gari wakati sio mhusika.Hiii real ni aibu kubwa sana kwa Taifa.Tuwe makini jamani na kila jambo lina taratibu zake.
Mbona anaendelea kuwakumbatia. Kwani wote ni shemeji zake? Acha wamuumbue.