Baada ya counter offensive kufeli, Ukraine yatimua waziri wa ulinzi

Wazir wa Ulinzi wa Tanzania ni Stergomena Tax alafu mkuu wa majeshi ni Jenerali John Mkunda huoni uzito wa hivyo vyeo?
Hata ww unaweza teuliwa na Rais kuwa Wazir wa Ulinzi ila kamwe huwez kuwa Jenerali wa jeshi?
Empty head.
 
Sasa kwanini waziri atimuliwe?
unatakaa aachwe kama Samia anaoneshwa mkataba hauna muda na bado anawasingizia watu kesi za uhaini na wananchi mnakenua tu , nyiny wajinga ndio maana hamko vitan ila kila ujinga nchini kwenu mnasingizia ukraine ila Ukraine inatoa misaada , nazan jibu umepata , kwann wamemfukuza
 
Urusi haijafukuza waziri wa ulinzi. Mbaya zaidi unafukuza waziri wa ulinzi wakati wa vita
Kwann hamjamfukuza Waizir wenu aliyesainin mkataba usio na muda wala kutambua sheria za kimataifa ? wenzenu wanafikiria kwenda mbele ila nyiny mnarud nyuma , vita mwaka wa pili sasa bado hamuoni uthubutu wa ukraine
 
Counter offensive uchwara imefeli, makopo ya NATO yamechomwa moto na jeshi la Urusi.
mwaka wa pili sasa , mnabadili mawazo , mlianza mnataka itoa serikali madarakan , ss hv mnazuia counter offensive , hamuon kuwa mmefer tyr maana mmetolewa kweny malengo tyr
 
Putin confirmed his words during a private meeting with the leader of the Zaporozhye region Yevgeny Paletsky. The leader of Zaporozhye said: What can I say after a conversation with President Putin he inspired me with very high confidence. I received confirmation of the words when the president said: We have not started anything yet” and there will be many
mtu anaua watu unamsifia hapa ,ngoja aje aue kwenu utapata akili si unajiona akili za nyan
 
Back
Top Bottom