Hiyo ni kweli kabisa....Lakini siamini Polisi wa Tanzania, nao wanahusika. The best way......... China au Hong Kong kuna askari wao.......wtafutwe wakalimani tu, Chinese -- Swahili language, waende huko gerezani halafu hiyo riport itolewe. Ukiingiza polisi wa bongo tu kila kitu kitatibuka.
Hii issue polisi wa Tanzania wakae pembeni mkitaka ukweli ujulikane .Polisi wa kimataifa wakawahoji hao wafungwa na kuahidi kwamba hawatatoa taarifa zao kwa serikali .Sababu wakienda polisi wa kibongo wataanza kuwatisha sijui baba yako ni nani ,jina la mama yako ,unakaa wapi . Kwa kuhofia usalama wao na familia zao hawatatoa ushahidi . LAKINI wakiweka condition ya kuwatunzania siri watatoa ushahidi