Gamlemilwe
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 290
- 200
Azam TV walitutangazi a kwamba wataonesha mechi ya Ligi Kuu Uingereza (EPL) mchezo kati ya Chelsea na Sheffield United lakini cha ajabu mda mfupi mchezo unapotaajia kuanza wakakata matangazo na baada ya muda wakarudisha. Nadhani wajipange kwanza kabla ya kutangaza kwa mbwembwe kumbe hakuna kitu.