ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,546
Wangejua jinsi tv zingine zisivyopendwa naona siku nyingi wangetoa ruksa hiyo
Unataka niambia kuanzia sasa azam atasimika minara ya terrestrial?Nimemsikia Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano Atashasta Nditiye bungeni leo anasema tayari Azam wamepata leseni ya kuwa MUX wakiungana na akina Startimes Ting na Digitek...nadhani sasa ule ubabe wa soko wa mchina kutoonyesha chaneli za FTA bila malipo unaenda kukoma...hawa jamaa kwa ubora nadhani vingamuzi vyao vitanunulika sana. Hongereni Azam kwa hatua hiyo muhimu angalau tuone chaneli za ndani kwa ubora maana hivi visimbuzi vingine ubora hamna kabisa wengine mara wazime mara wawake...kama hao wengine wanaojinasibu wakubwa ubora picha zina ukunguukungu...
WITO WANGU KWENU AZAM...Mtuletee ving'amuzi vya maana na vya HD viwe na options lukuki ikiwezekana hata kuweka flash na kufanya gaming humo humo dunia ishaendelea fanyeni utafiti vizuri mje na kitu konki...wakenya waje wajifunze Tanzania. Heko!View attachment 1097133
Asante kwa maelezo mengi sana lakini kwa wenye uelewa mdogo tunataka kujua ni kwa nini ilitugwa kanuni inayowalipisha hawa million 800 na wengine kidogo!? Hoja hapa ni kuwa tunajitungia vikanuni na vijisheria vingi vingi lakini visivyokubalika kwingineko duniani na hata waliovitunga hawavielewi. Kuwekana sawa kuna hukumu ilitolewa (na Mahakama ya Afrika kama sikosei) kuwa sheria iliyopitishwa na Bunge letu wenyewe ilikuwa inakiuka haki za binadamu.Nadhani ulikuwa miss informed sheria iko wazi kabisa ving'amuzi vya DSTV,ZUKU na AZAM ni SUBSCRIPTION DECODERS ambazo leseni zao haziwaruhusu kubeba local FTA kwa sababu wao ni business bent companies...wakati ving'amuzi vya MUX(Multiplex Operators) ambavyo ni TING,STATIMES,DIGITEK na CONTINENTAL ndivyo kwa mujibu wa sheria vinaruhusiwa kubeba local channels na leseni zao hawa ni gharama kubwa sana zaidi ya Milioni 800 wakati wale wa awali kina dstv leseni yao ni bei chee...kwa hiyo hayo makundi mawili kila mtu ana masharti yake ya leseni hivyo huwezi kuingilia masharti ya leseni ya mwenzako na ukamharibia biashara wakati yeye leseni yake analipa zaidi kuliko wewe.......ndicho walichokuwa wanafanya kina DSTV hapo zamani kwa kuzibeba FTA za local huku wakijipatia watazamaji wengi na kuvuna faida, na waliizuia TCRA kuwazuia waziondoe kwa sababu waliipeleka serikali mahakamani....sasa watu wanapotosha....kwenye biashara kila mmoja anapaswa kula share yake kwa usawa bila kuathiri mwingine kufanya biashara.....sasa AZAM baada ya kuona MUX kunalipa ndio nae kajiongeza kupata leseni kubwa kama wenzake wa TING,Star nk ili apate wateja zaidi....changamoto moja ni kwamba watanzania wengi huwa hatupendi kusoma sheria kanuni na miongozo ili kujielemisha juu ya masuala mtambuka yanayotuhusu....haya yote yamo kwenye tovuti ya TCRA na sheria zake zote zimo mle wazi TUSOME TUSOME TUSOME!!!
kingamuzi cha MENGI CHA DIGITEK hakionyeshi channel yeyote, kwenu wenye navyo mnaona kitu?Nimemsikia Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano Atashasta Nditiye bungeni leo anasema tayari Azam wamepata leseni ya kuwa MUX wakiungana na akina Startimes Ting na Digitek...nadhani sasa ule ubabe wa soko wa mchina kutoonyesha chaneli za FTA bila malipo unaenda kukoma...hawa jamaa kwa ubora nadhani vingamuzi vyao vitanunulika sana. Hongereni Azam kwa hatua hiyo muhimu angalau tuone chaneli za ndani kwa ubora maana hivi visimbuzi vingine ubora hamna kabisa wengine mara wazime mara wawake...kama hao wengine wanaojinasibu wakubwa ubora picha zina ukunguukungu...
WITO WANGU KWENU AZAM...Mtuletee ving'amuzi vya maana na vya HD viwe na options lukuki ikiwezekana hata kuweka flash na kufanya gaming humo humo dunia ishaendelea fanyeni utafiti vizuri mje na kitu konki...wakenya waje wajifunze Tanzania. Heko!View attachment 1097133
Ndio maana yake...na ndio maana kuna miezi saba ya kuweka minara nchi nzima..Unataka niambia kuanzia sasa azam atasimika minara ya terrestrial?
Sheria za Tanzania si lazima zihusiane na za EAC hata za bara na visiwani si zote zinahusiana kuna masuala ya muungano na yasiyo...Asante kwa maelezo mengi sana lakini kwa wenye uelewa mdogo tunataka kujua ni kwa nini ilitugwa kanuni inayowalipisha hawa million 800 na wengine kidogo!? Hoja hapa ni kuwa tunajitungia vikanuni na vijisheria vingi vingi lakini visivyokubalika kwingineko duniani na hata waliovitunga hawavielewi. Kuwekana sawa kuna hukumu ilitolewa (na Mahakama ya Afrika kama sikosei) kuwa sheria iliyopitishwa na Bunge letu wenyewe ilikuwa inakiuka haki za binadamu.
Swali jepesi sheria za Kenya, Uganda, Rwanda nk zinaruhusuje hizo local channels zao kuonekana Azam
/DSTV na hapa zisiruhusu wakati sote ni Jumuiya ya Afrika Mashariki!?
Nakubaliana na wewe, sheria tunazo lakini mara nyingi hazitekelezeki dalili kwamba zina utata.Sheria za Tanzania si lazima zihusiane na za EAC hata za bara na visiwani si zote zinahusiana kuna masuala ya muungano na yasiyo...
Kuhusu kesi unayoizungumzia haihusiani kabisa na ving'amuzi inahusu online regulations na kuna uzi humu JF umeandika hilo suala.
https://www.jamiiforums.com/threads...i-kutumika-hadi-mahakama-itoe-uamuzi.1438510/
Suala la ving'amuzi ni jingine ufafanuzi nilioutoa hapo unajitosheleza ili kufahamu zaidi unaweza kusoma kanuni zimo kwenye website ya TCRA www.tcra.go.tz
OVA
Kweli mkuu chanel zote za Kenya ikiwemo KBc kwenye dstv zinapatikanaAsante kwa maelezo mengi sana lakini kwa wenye uelewa mdogo tunataka kujua ni kwa nini ilitugwa kanuni inayowalipisha hawa million 800 na wengine kidogo!? Hoja hapa ni kuwa tunajitungia vikanuni na vijisheria vingi vingi lakini visivyokubalika kwingineko duniani na hata waliovitunga hawavielewi. Kuwekana sawa kuna hukumu ilitolewa (na Mahakama ya Afrika kama sikosei) kuwa sheria iliyopitishwa na Bunge letu wenyewe ilikuwa inakiuka haki za binadamu.
Swali jepesi sheria za Kenya, Uganda, Rwanda nk zinaruhusuje hizo local channels zao kuonekana Azam
/DSTV na hapa zisiruhusu wakati sote ni Jumuiya ya Afrika Mashariki!?
Nakuhakikishia hilo halitakaa litokee unless huyo star TV ajibadilishe kuwa subscription channel kama wasafi TV ndio ataweza kuingia dstv vinginevyo haiwezekani...channel zinazotakiwa kuingia dstv Zuku na azam ni zile za kulipia tu isipokuwa tbc1 na tbc3 ambazo ni must carry channel kama sheria inavyosema...walikudanganya haitatokea hata tcra walilitolea ufafanuzi kwamba kama unataka kuona local FTA channels nunua moja kati ya visimbuzi vya MUX na sio hivyo vya wenye hela....na FTA zinafaa kuonekana bure bila malipo kama ilivyokuwa enzi za analojia wakati tukitega antenna kuelekea bomani/halmashauri kupata signal.......enzi za oyaah!! Toka nje kazungushe bomba....poa!!...enhe hapo hapo hapo... hapohapo usigusee!!...poa weka jiwe kaza kamba fresh....DSTV waliniambia kama mwezi mmoja uliopita kwamba TCRA wangeweza kuwaruhusu kurudisha STARTV muda wowote ILA naona muda unakwenda bila lolote kufanyika.
That's it na tayari ameshaanza ku roll out within 7 good months kwa mujibu wa deputy minister wa mawasiliano kazi itakuwa imekamilika na maeneo mengi nchini watakuwa wanaona FTA freshUnataka niambia kuanzia sasa azam atasimika minara ya terrestrial?
Impossible waachie wanafamilia wengine waitazame kuna mambo mazuri tu mle wanafamilia yako watakuwa wanapenda kuyaona labda kama wewe ni mseja.Hivi hamna njia ya kudisable TBC isipatikane kwenye king'amuzi..maana inafanya king'amuzi changu kinakuwa kizito
Hivi haya maswali na majibu huwa wanayaandaa wa kuuliza na wa kujibu?Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Atashasta Nditiye amelieleza Bunge leo Jumanne Mei 14, 2019 kuwa kituo cha televisheni cha Azam jana Jumatatu kimepokea leseni ya kuonyesha chaneli za ndani bure.
Pia, Nditiye amesema katika kipindi cha miezi saba watajenga mfumo wa kurusha chaneli hizo, hivyo wananchi wanapaswa kuvuta subira.
Naibu waziri ametoa kauli hiyo akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, aliyehoji ni kwa nini Azam wananyimwa haki ya kuonyesha channel za ndani bure.
"Je, Serikali haioni kuwanyima haki hiyo wakati wengine wamepewa ni kukiuka ibara ya 18 ya katiba ambayo inatoa haki ya kupata habari, lakini hata Rais wetu anatumia Azam kurusha matangazo yake hivyo tungejitangaza hadi nje," ameuliza Shangazi.
Katika swali la msingi, Mbunge wa Nyamagana (CCM), Stanslaus Mabula, aliuliza Serikali iwapo haioni kupitia TCRA kuwafungia local channels (chanel za ndani) baadhi ya ving'amuzi ikiwamo Azam TV, DSTV na vingine imewanyima wananchi fursa ya kupata habari.
Naibu waziri amesema Serikali inatambua umuhimu wa wananchi kujua mambo yanayoendelea, hivyo imetoa leseni zenye masharti tofauti.
Amesema kwa sasa matangazo ya umma yanarushwa na TBC1 na TBC3 maarufu safari channel.
Kwa mujibu wa Nditiye, kampuni zinazomiliki ving’amuzi vya DSTV, Zuku na Azam hayakustahiki kutoa huduma ya kubeba chaneli za ndani zisizolipiwa kutokana na masharti ya leseni zao.
Amesema Serikali imefanya jitihada ya kukaribisha maombi ya leseni ya kubeba maudhui ya chaneli za ndani kutoka kwa wanaohitaji kutoa huduma ikiwamo kampuni hizo ili ziweze kupata leseni stahiki.
Mwananchi
===================
MY TAKE
Ni wakati sasa ule ubabe wa soko wa mchina kutoonyesha chaneli za FTA bila malipo uende ukikoma...hawa jamaa kwa ubora nadhani vingamuzi vyao vitanunulika sana.
Hongereni Azam kwa hatua hiyo muhimu angalau tuone chaneli za ndani kwa ubora maana hivi visimbuzi vingine ubora hamna kabisa wengine mara wazime mara wawake...kama hao wengine wanaojinasibu wakubwa ubora picha zina ukunguukungu...
WITO WANGU KWENU AZAM...Mtuletee ving'amuzi vya maana na vya HD viwe na options lukuki ikiwezekana hata kuweka flash na kufanya gaming humo humo dunia ishaendelea fanyeni utafiti vizuri mje na kitu konki...wakenya waje wajifunze Tanzania. Heko!
Nadhani ulikuwa miss informed sheria iko wazi kabisa ving'amuzi vya DSTV,ZUKU na AZAM ni SUBSCRIPTION DECODERS ambazo leseni zao haziwaruhusu kubeba local FTA kwa sababu wao ni business bent companies...wakati ving'amuzi vya MUX(Multiplex Operators) ambavyo ni TING,STATIMES,DIGITEK na CONTINENTAL ndivyo kwa mujibu wa sheria vinaruhusiwa kubeba local channels na leseni zao hawa ni gharama kubwa sana zaidi ya Milioni 800 wakati wale wa awali kina dstv leseni yao ni bei chee...kwa hiyo hayo makundi mawili kila mtu ana masharti yake ya leseni hivyo huwezi kuingilia masharti ya leseni ya mwenzako na ukamharibia biashara wakati yeye leseni yake analipa zaidi kuliko wewe.......ndicho walichokuwa wanafanya kina DSTV hapo zamani kwa kuzibeba FTA za local huku wakijipatia watazamaji wengi na kuvuna faida, na waliizuia TCRA kuwazuia waziondoe kwa sababu waliipeleka serikali mahakamani....sasa watu wanapotosha....kwenye biashara kila mmoja anapaswa kula share yake kwa usawa bila kuathiri mwingine kufanya biashara.....sasa AZAM baada ya kuona MUX kunalipa ndio nae kajiongeza kupata leseni kubwa kama wenzake wa TING,Star nk ili apate wateja zaidi....changamoto moja ni kwamba watanzania wengi huwa hatupendi kusoma sheria kanuni na miongozo ili kujielemisha juu ya masuala mtambuka yanayotuhusu....haya yote yamo kwenye tovuti ya TCRA na sheria zake zote zimo mle wazi TUSOME TUSOME TUSOME!!!