live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 833
- 1,309
Nakumbuka Kuna siku Azam walimualika raisi Samia kuzindua kurusha matangazo ya Azam TV Kwa kutumia 4G ila Baada ya pale Kila kitu Kiliishia pale pale.
Au Mimi ndio nilikuwa sijaelewa maana wengine walienda mbali zaidi hadi kusema watu watakuwa wanaangalia Azam tv max bila ya bando.
Au Mimi ndio nilikuwa sijaelewa maana wengine walienda mbali zaidi hadi kusema watu watakuwa wanaangalia Azam tv max bila ya bando.