utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 536
- 1,357
Hivi hamkufanya maandalizi kabla ya hii mechi ili kujua izo nguzo zilizopo uwanjani zitaziba camera zenu wakati wa urushaji matangazo? Yaani mmekosa kabisa sehemu nyingine ya kufunga kamera? Hiki mnachokionesha ni nini sasa?
Kweli tunalipia fedha za vifurushi kuona haya mauzauza?
Kweli tunalipia fedha za vifurushi kuona haya mauzauza?