Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,133
- 2,987
Naangalia hapa mchezo wa Dodoma jiji FC vs Mashujaa huu muonekano wa picha zao ni tatizo sana.
Hata game nyingi za mikoani wameshindwa kabisa kuwa na coverage nzuri.
Wao kama wadhamini sio lazima warushe kila mechi, ama wajadiliane na vilabu vitafwe viwanja kadhaa vya kutumika katika ligi nao wawe na camera za kutosha.
Kwa sasa wanafanya bora liende. Inaudhi sana.
Hata game nyingi za mikoani wameshindwa kabisa kuwa na coverage nzuri.
Wao kama wadhamini sio lazima warushe kila mechi, ama wajadiliane na vilabu vitafwe viwanja kadhaa vya kutumika katika ligi nao wawe na camera za kutosha.
Kwa sasa wanafanya bora liende. Inaudhi sana.