Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Azam media imekuwa ikisifika kama chombo kilichoiubuka kikiwa na taarifa zenye hadhi, ubora, weledi na zisizokuwa na mrengo wowote.
Siku za hivi karibuni tunashuhudia wakianza kuwa na tabia kama ya tabloids au Udaku. Inachefua sana, vichwa vya habari nusunusu viliyokaa kichochezi na visivyozingatia maadili, huku habari halisi ikwa no tofauti na yalaiyomo. Pia uwasilishaji wa habari hasa za nchi zinaonekana kuanza kuwa kama za kishabiki mkijaribu kila wakati kuonyesha ubaya wa hali ya nchi badala ya kubalance habari.
Kwa mda mrefu tumetamani kuwa na media ambazo ziko authentic na balanced, na zinazopotray patriotic front kwa kucover progress ya nchi. Please jirekebisheni.
Siku za hivi karibuni tunashuhudia wakianza kuwa na tabia kama ya tabloids au Udaku. Inachefua sana, vichwa vya habari nusunusu viliyokaa kichochezi na visivyozingatia maadili, huku habari halisi ikwa no tofauti na yalaiyomo. Pia uwasilishaji wa habari hasa za nchi zinaonekana kuanza kuwa kama za kishabiki mkijaribu kila wakati kuonyesha ubaya wa hali ya nchi badala ya kubalance habari.
Kwa mda mrefu tumetamani kuwa na media ambazo ziko authentic na balanced, na zinazopotray patriotic front kwa kucover progress ya nchi. Please jirekebisheni.