uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,047
- 8,531
Mchezaji wa Zamani wa Manchester City amekuja hadharani na kusema maisha ya Saudi Arabia yamekuwa ndoto za alianacha kwa wachezaji waliotoka ulaya
"Tunawasiliana na wachezaji wengi hapa miongoni mwa waliotoka bara la ulaya, wengi wanaonyesha hawafurahii kabisa maisha ya hapa... Lakini ni changamoto tunajarubu kujifunza"
Hapa Saudi Arabia kila kitu wanaichukulia kwa uzito mdogo, mchezo wa uwanjani bado ni dhaifu bado labda wataboresha kwa kuwa bado wachanga
Pia ni kuhusu wao na maisha yao unaweza kukaa kwenye folen masaa matatu na mambo mengine kama hayo nje ya uwanja
Serkali ya kifalme mjini riadhi imetenga mabilion ya dola kuvisaidia vilabu kadhaa nchini humo kusajili majina makubwa ili kuipeleka saud arabia duniani pmj na maadili yake
Mtakumbuka kuwa baadhi ya wachezaji wamesharudi ulaya na wengine wapo kwenye mazungumzo kuondoka uarabuni kutokana na kutoridhishwa na maisha nchini saudi arabia
Credit :as
"Tunawasiliana na wachezaji wengi hapa miongoni mwa waliotoka bara la ulaya, wengi wanaonyesha hawafurahii kabisa maisha ya hapa... Lakini ni changamoto tunajarubu kujifunza"
Hapa Saudi Arabia kila kitu wanaichukulia kwa uzito mdogo, mchezo wa uwanjani bado ni dhaifu bado labda wataboresha kwa kuwa bado wachanga
Pia ni kuhusu wao na maisha yao unaweza kukaa kwenye folen masaa matatu na mambo mengine kama hayo nje ya uwanja
Serkali ya kifalme mjini riadhi imetenga mabilion ya dola kuvisaidia vilabu kadhaa nchini humo kusajili majina makubwa ili kuipeleka saud arabia duniani pmj na maadili yake
Mtakumbuka kuwa baadhi ya wachezaji wamesharudi ulaya na wengine wapo kwenye mazungumzo kuondoka uarabuni kutokana na kutoridhishwa na maisha nchini saudi arabia
Credit :as