AY na Mwana FA wafungua case wakiiomba mahakama kukamata mali za Tigo ili walipwe pesa yao

nawaona tigo wanavotamani
kuwawekea hata risasi kwenye vocha tu yaishe!
AHHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHHAHHAHAHAHHAHA hakiiiiii!
 
Sio wanaelekea kushinda bali WAMESHINDA kesi hivyo kwenye viunga vya mahakama wanakwenda tena kwa mara nyingine ili mahakama ikamate mali za Tigo kama sharti la kuwalazimisha kulipa vinginevyo utekelezaji wa ulipaji unaweza ukafanyika siku isiyojulikana hata kama baada ya miaka 5
Well said...
 
Wana Jamvi wasalaam......
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.....
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.

Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.

Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati

Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....

Wasalaam
Weka picha nisave

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudadekii.....wamekomaa... Mpaka wamevimba nyuso..kmmake
 
Wana Jamvi wasalaam......
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.....
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.

Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.

Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati

Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....

Wasalaam
Nyie wenye line za tigo mmekwisha, mtakatwa kwa kila vocha mnaloweka ili muwalipe, ushauri hameni tigo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu nahisi tuna vinasaba vinavyofanana na AY atakua ndugu yangu yule, hata wahenga walisema "Kizuri kula na nguguyo" ngoja niiombe mahakama iamuru tuchukuliwe vipimo vya DNA
 
Wana Jamvi wasalaam......
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.....
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.

Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.

Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati

Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....

Wasalaam
Hongera zao vijana wanaenda kuuaga umaskini "haswa FA" maana AY naamini anamiliki mali zenye thamani zaidi ya hiyo pesa. Lakini pia nikiangalia salio watakalobaki nalo baada ya makato yote si zaidi ya 1.5b kwa hesabu hizi hapa.

2.1b - 18% (kodi) - pesa ya mahakama (sio chini ya 10%) - na sasa pesa ya kukazia hukumu (sijui ngapi) - pesa ya wakili (sio chini ya 5%) = ???? Gawa kwa wawili = salio la kila mtu kati ya 600m - 750m. (si haba)
 
Nitawaona wakatili FA na AY endapo ktk mgao wakimsahau Hermy B, kwani biti yake ndio iliyotumika kuliko hata hizo sauti zao.
kwani si walishamlipa kwa kazi hiyo......au bado anawadai hela ya kuproduce?.....
 
Hivi ni wimbo gani tigo wali tumia?

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Hao vijana baada ya kuona wamewabana mbavu tigo sasa hivi kila kukicha wao wanashinda kwenye viunga vya mahakama
fb2994b56f37a7d72b79dd8491046312.jpg


-Ndumilakuwili-
Hivi kweli hawa hata thamani yao inafikia hiyo pesa, achana na thanani ya nyimbo zao! Isije ikawa story za makinikia ambapo unaidai kampuni bajeti zako za miaka 20 huku thamani ya mdaiwa ikiwa haifikii hata robo ya unachokidai!
 
Back
Top Bottom