Mali tena, sio fidia..walitaka kukata rufaa wakagonga mwamba .... sasa kama wanashindwa wawakabidhi Mwana FA na AY mali zao
Harafu hao wafanyakazi rasmi na wasio rasmi elfu 80 utawaajili wewe nyumbani kwenu
Jamaa ni mtu wa vitendo sana kuliko kuongea.........Albert msando!!!.... Hatari sana huyu jamaa, ndani na nje ya mahakama
Sent using Jamii Forums mobile app
Watampa kama rafiki na producer waoHeeee kama hermy b aliuza biti kwa cash why apewe mgao tena wakati keshatoa hati miliki ya huo mdundo
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said...Sio wanaelekea kushinda bali WAMESHINDA kesi hivyo kwenye viunga vya mahakama wanakwenda tena kwa mara nyingine ili mahakama ikamate mali za Tigo kama sharti la kuwalazimisha kulipa vinginevyo utekelezaji wa ulipaji unaweza ukafanyika siku isiyojulikana hata kama baada ya miaka 5
hakika penye noa pana njia,maana haina mabawa kama helicopter.Thanx FA Na AY Hakika mmetuthibitishia kuwa penye noa pana njia,msimsahau producer wenu !
Weka picha nisaveWana Jamvi wasalaam......
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.....
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.
Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.
Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati
Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....
Wasalaam
Nyie wenye line za tigo mmekwisha, mtakatwa kwa kila vocha mnaloweka ili muwalipe, ushauri hameni tigo.Wana Jamvi wasalaam......
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.....
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.
Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.
Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati
Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....
Wasalaam
Hongera zao vijana wanaenda kuuaga umaskini "haswa FA" maana AY naamini anamiliki mali zenye thamani zaidi ya hiyo pesa. Lakini pia nikiangalia salio watakalobaki nalo baada ya makato yote si zaidi ya 1.5b kwa hesabu hizi hapa.Wana Jamvi wasalaam......
Baada ya mahakama kuu kutoa agizo kwa Tigo kuwalipa 2.1bil wasanii Mwana FA na AY kutonaka na kampuni ya Tigo kutumia kazi zao bila ridhaa yao.....
Baada ya maamuzi hayo ya mahakama yaliyofanyika wiki iliyopita ,wiki hii kampuni ya Tigo ilipeleka kusudio la kukata rufaa kupinaga maamuzi yaliyofanyika na kuwapa ushindi Mwana FA na AY.
Baada ya rufani ya Tigo kugonga mwamba,Leo Mwana FA na AY wakiongoza na wakili Alberto Msando wamefungua case mahakma ya W/ilala kuiomba mahakama kuzikamata mali za TIGO ili walipwe pesa yao TSH 2.1billion zilizo amuliwa na mahakama kuu.
Pia wameomba mahakama kumkamata kaimu manager wa Tigo watakaposhindwa kulipa deni kwa wakati
Nawatakia kila la kheri....bila shaka watalipwa pesa zao
Waliposhika waendelee kushika....
Wasalaam
kwani si walishamlipa kwa kazi hiyo......au bado anawadai hela ya kuproduce?.....Nitawaona wakatili FA na AY endapo ktk mgao wakimsahau Hermy B, kwani biti yake ndio iliyotumika kuliko hata hizo sauti zao.
Biti ni Mali ya prodyuza. Ni kama vile unanua CD ya windows au umelipia nguzo ya umeme TANESCOkwani si walishamlipa kwa kazi hiyo......au bado anawadai hela ya kuproduce?.....
Hivi kweli hawa hata thamani yao inafikia hiyo pesa, achana na thanani ya nyimbo zao! Isije ikawa story za makinikia ambapo unaidai kampuni bajeti zako za miaka 20 huku thamani ya mdaiwa ikiwa haifikii hata robo ya unachokidai!Hao vijana baada ya kuona wamewabana mbavu tigo sasa hivi kila kukicha wao wanashinda kwenye viunga vya mahakama
-Ndumilakuwili-