Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Madaktari nchi nchini Uingereza wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kumwekea binadamu moyo wa plasitiki unaondeshwa na nguvu ya betri.
Matthew Green (40), amewekewa moyo huo wa plasitiki katika Hospitali ya Papworth kwenye Mji wa Cambrige na aliruhusiwa kurejea nyumbani na moyo huo, akisema umerejeshwa upya uhai wake.
Akionyesha furaha mbele ya wanahabari, Matthew ambaye ni baba wa mtoto mmoja alisema Ni ajabu kwangu, moyo wa plasitiki umenirudishia uhai, sasa najisikia vizuri mwenye afya na maisha mema.
Kwa mujibu wa madaktari Matthew analazimika kutembea na mkoba ulio na betri zilizotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu zinazofanya kazi ya kuendesha moyo huo usambaze damu mwilini.
SOURCE: BBC NEWS
Matthew Green (40), amewekewa moyo huo wa plasitiki katika Hospitali ya Papworth kwenye Mji wa Cambrige na aliruhusiwa kurejea nyumbani na moyo huo, akisema umerejeshwa upya uhai wake.
Akionyesha furaha mbele ya wanahabari, Matthew ambaye ni baba wa mtoto mmoja alisema Ni ajabu kwangu, moyo wa plasitiki umenirudishia uhai, sasa najisikia vizuri mwenye afya na maisha mema.
Kwa mujibu wa madaktari Matthew analazimika kutembea na mkoba ulio na betri zilizotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu zinazofanya kazi ya kuendesha moyo huo usambaze damu mwilini.
SOURCE: BBC NEWS