Awe vipi?

N12345C

Member
May 25, 2010
7
0
:confused2:Ivi akina dada, ni vipi mnataka mvulana awe? and for men ni vp mnataka msichana awe?

sina uzoefu sana, ila nachojua kuna zile tabia ambazo ni common wasichana wanapenda vilevile kwa wavulana.Wana JF naileta kwenu maana mi kichwa kinauma.



HI TO ALL
 
Mi nataka msichana wangu awe kicheche, mchawi, mchoyo, mchafu, asiyependa wageni, mwenye majungu, matusi, gubu na kila tabia mbaya.
 
:confused2:Ivi akina dada, ni vipi mnataka mvulana awe? and for men ni vp mnataka msichana awe?

sina uzoefu sana, ila nachojua kuna zile tabia ambazo ni common wasichana wanapenda vilevile kwa wavulana.Wana JF naileta kwenu maana mi kichwa kinauma.




HI TO ALL
Hilo jina lako mwenyewe nimekubali.............
 
Mi nataka msichana wangu awe kicheche, mchawi, mchoyo, mchafu, asiyependa wageni, mwenye majungu, matusi, gubu na kila tabia mbaya.

LOL hapo mkuu nimekubali.....sasa hapo uko serious au unataka tu-negate hiyo kitu au unaonesha kwamba ni obvious!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Mi sipendi mwanaume anaye nichunga kama mtoto.
Mara apekue simu yangu, nikipokea simu yeye apata hofu.
 
:confused2:Ivi akina dada, ni vipi mnataka mvulana awe? and for men ni vp mnataka msichana awe?

sina uzoefu sana, ila nachojua kuna zile tabia ambazo ni common wasichana wanapenda vilevile kwa wavulana.Wana JF naileta kwenu maana mi kichwa kinauma.



HI TO ALL

kwani we ungependa awe vipi? hata kwa uzoefu wako mdogo lazima una preference
 
:hug:haaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!! haaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
minampenda mwanaume mwenye kunuka mdomoi,kikwapa,
afui boksa anvaa wik nzima,
mwenye kuchek chek simu yangu ol da tyme,haniruhusu ata kwenda kwenye kipeimara cha mdogo wangu ye wivu tu,
mwenye kunipiga,kunisema ta nikichelewa kuandaaa msosi,
anayetaka gemu mara tano kwa siku,
kanisan/msikitini apajui,
bongolala yani isnt director,advisor,collegue,frend of mine,yan nkipata matatizo msaada nkautafute ukoooooooooooo,
ana kazi nzuri lakin ada za watoto atoi,chakula anunui, ata kuzuga na vijizawad vya buku akuna......yaan lipolipo tu........tusaidian domestc
expense,mleeeeev sana,
ana mademu nje kibao..........
caring,handling ni f ova W!!!!!!!!

NOW BROO IZ YA TURN
KM UNA AKILI NZURI THEN U KNW what i mean
make t vicevsal na maisha yatakuwa bora
 
:hug:haaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!! haaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
minampenda mwanaume mwenye kunuka mdomoi,kikwapa,
hafui boksa anvaa wik nzima,
mwenye kuchek chek simu yangu ol da tyme,haniruhusu hata kwenda kwenye kipeimara cha mdogo wangu ye wivu tu,
mwenye kunipiga,kunisema ta nikichelewa kuandaaa msosi,
anayetaka gemu mara tano kwa siku,
kanisan/msikitini hapajui,
bongolala yani isnt director,advisor,collegue,frend of mine,yan nkipata matatizo msaada nkautafute ukoooooooooooo,
ana kazi nzuri lakin ada za watoto hatoi,chakula hanunui, ata kuzuga na vijizawad vya buku hakuna......yaan lipolipo tu........tusaidian domestc
expense,mleeeeev sana,
ana mademu nje kibao..........
caring,handling ni f ova W!!!!!!!!

NOW BROO IZ YA TURN
KM UNA AKILI NZURI THEN U KNW what i mean
make t vicevsal na maisha yatakuwa bora

Kaaazii kweli kweli..
 
:hug:haaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!! haaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
minampenda mwanaume mwenye kunuka mdomoi,kikwapa,
afui boksa anvaa wik nzima,
mwenye kuchek chek simu yangu ol da tyme,haniruhusu ata kwenda kwenye kipeimara cha mdogo wangu ye wivu tu,
mwenye kunipiga,kunisema ta nikichelewa kuandaaa msosi,
anayetaka gemu mara tano kwa siku,
kanisan/msikitini apajui,
bongolala yani isnt director,advisor,collegue,frend of mine,yan nkipata matatizo msaada nkautafute ukoooooooooooo,
ana kazi nzuri lakin ada za watoto atoi,chakula anunui, ata kuzuga na vijizawad vya buku akuna......yaan lipolipo tu........tusaidian domestc
expense,mleeeeev sana,
ana mademu nje kibao..........
caring,handling ni f ova W!!!!!!!!

NOW BROO IZ YA TURN
KM UNA AKILI NZURI THEN U KNW what i mean
make t vicevsal na maisha yatakuwa bora

and vice versa is true!!!!!!!!!!
 
Kwa nini sifai mpendwa.
Namaanisha sipendi mwanaume mwenye wivu wa kupindukia kiasi kwamba anakuchunga kama mtoto.
Au weye ni mmoja wa hao wanaume nnaowasema?

Mwanaume lazima awe na wivu wa kupindikia kwa mkewe/mpenzie
Mwanamke ni lazima achungwe kama mtoto
Mimi ni mwanaume mwenye sifa hizo za kiume.

Unaona? wewe utakuwa hunifai.
 
:hug:kila mtu anajua standard zake ambazo anataka mwenza wake awe nazo, bt wanawake hupenda sehem yenye usalama:angry:
 
Ni kitu personnal sana hiki, but kila dume au jike ana vitu vyake anavyopenda.
 
Kwa nini sifai mpendwa.
Namaanisha sipendi mwanaume mwenye wivu wa kupindukia kiasi kwamba anakuchunga kama mtoto.
Au weye ni mmoja wa hao wanaume nnaowasema?

We mbona hujiamini kama humfai huyo bwana haina maana huwafai watu wote unaniangusha hivyo shosti!!!!!!!!!!!!!!
 
nimewapateni dada Rose(unajina la dada yangu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa) na Sumbalanyiro, BIG UP. lakini mi nilikua nataka zile deep and love oriented. Rose (1980) ndo mwaka wako wa kuzaliwaaaaaaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom