Hilo jina lako mwenyewe nimekubali.............:confused2:Ivi akina dada, ni vipi mnataka mvulana awe? and for men ni vp mnataka msichana awe?
sina uzoefu sana, ila nachojua kuna zile tabia ambazo ni common wasichana wanapenda vilevile kwa wavulana.Wana JF naileta kwenu maana mi kichwa kinauma.
HI TO ALL
Ili iweje Mkuu?? Lazima kuna sababu! na siku hizi type hiyo hawapo.Mi nataka msichana wangu awe kicheche, mchawi, mchoyo, mchafu, asiyependa wageni, mwenye majungu, matusi, gubu na kila tabia mbaya.
Mi nataka msichana wangu awe kicheche, mchawi, mchoyo, mchafu, asiyependa wageni, mwenye majungu, matusi, gubu na kila tabia mbaya.
Basi kumbe wewe hunifai.Mi sipendi mwanaume anaye nichunga kama mtoto.
Mara apekue simu yangu, nikipokea simu yeye apata hofu.
:confused2:Ivi akina dada, ni vipi mnataka mvulana awe? and for men ni vp mnataka msichana awe?
sina uzoefu sana, ila nachojua kuna zile tabia ambazo ni common wasichana wanapenda vilevile kwa wavulana.Wana JF naileta kwenu maana mi kichwa kinauma.
HI TO ALL
Basi kumbe wewe hunifai.
Mi sipendi mwanaume anaye nichunga kama mtoto.
Mara apekue simu yangu, nikipokea simu yeye apata hofu.
:hug:haaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!! haaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
minampenda mwanaume mwenye kunuka mdomoi,kikwapa,
hafui boksa anvaa wik nzima,
mwenye kuchek chek simu yangu ol da tyme,haniruhusu hata kwenda kwenye kipeimara cha mdogo wangu ye wivu tu,
mwenye kunipiga,kunisema ta nikichelewa kuandaaa msosi,
anayetaka gemu mara tano kwa siku,
kanisan/msikitini hapajui,
bongolala yani isnt director,advisor,collegue,frend of mine,yan nkipata matatizo msaada nkautafute ukoooooooooooo,
ana kazi nzuri lakin ada za watoto hatoi,chakula hanunui, ata kuzuga na vijizawad vya buku hakuna......yaan lipolipo tu........tusaidian domestc
expense,mleeeeev sana,
ana mademu nje kibao..........
caring,handling ni f ova W!!!!!!!!
NOW BROO IZ YA TURN
KM UNA AKILI NZURI THEN U KNW what i mean
make t vicevsal na maisha yatakuwa bora
:hug:haaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!! haaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
minampenda mwanaume mwenye kunuka mdomoi,kikwapa,
afui boksa anvaa wik nzima,
mwenye kuchek chek simu yangu ol da tyme,haniruhusu ata kwenda kwenye kipeimara cha mdogo wangu ye wivu tu,
mwenye kunipiga,kunisema ta nikichelewa kuandaaa msosi,
anayetaka gemu mara tano kwa siku,
kanisan/msikitini apajui,
bongolala yani isnt director,advisor,collegue,frend of mine,yan nkipata matatizo msaada nkautafute ukoooooooooooo,
ana kazi nzuri lakin ada za watoto atoi,chakula anunui, ata kuzuga na vijizawad vya buku akuna......yaan lipolipo tu........tusaidian domestc
expense,mleeeeev sana,
ana mademu nje kibao..........
caring,handling ni f ova W!!!!!!!!
NOW BROO IZ YA TURN
KM UNA AKILI NZURI THEN U KNW what i mean
make t vicevsal na maisha yatakuwa bora
Kwa nini sifai mpendwa.
Namaanisha sipendi mwanaume mwenye wivu wa kupindukia kiasi kwamba anakuchunga kama mtoto.
Au weye ni mmoja wa hao wanaume nnaowasema?
Mi nataka msichana wangu awe kicheche, mchawi, mchoyo, mchafu, asiyependa wageni, mwenye majungu, matusi, gubu na kila tabia mbaya.
Kwa nini sifai mpendwa.
Namaanisha sipendi mwanaume mwenye wivu wa kupindukia kiasi kwamba anakuchunga kama mtoto.
Au weye ni mmoja wa hao wanaume nnaowasema?
Do u really mean it??ha ha ha safi sana hizi sifa ni nzuri na mbadala sana