Awamu ya Tano Matajiri waliishi kama mashetani, pesa zao ziliporwa, Bureau De Change zilifungwa, wakabambikwa kesi nzito

Shida matajiri wengi wa bongo wamepiga pesa za walipa kodi Wala hoi nyingi sana kwa kutumia ujinga, ulafi na migongo ya wanasiasa wachache

Mtu anaanzisha kampuni uchwara, anaingia Mikataba ya mabilioni ya pesa ambayo hata haieleweki wanagawana na watu wa serikali


Kama hao kina Seth ni majambazi tu hapo magufuli Nampa big up
 
Huo ulikua ni uzushi na stori za alinacha kama stori nyingine.

Hakuna tajiri aliefilisiwa wala mtu kuibiwa pesa zake.
Sasa mkuu wewe unashinda na remote hapo kwa shemeji yako sebuleni utajuaje movement za kimjini ?
Ukiwa na shughuli za kimaokoto ungejua tuu ..kuna ujinga wa kucheza na accounts za watu ...

Tanzania ilipatwa ...kwa kuwa na Jambazi ndani ya Ikulu kwa mwavuli wa uzalendo
 
Kuna mama mmoja alikua na 600 M bank, wakamfuata mama umetoa wapi pesa yote hii, akawaambia wajinga nyie ingieni ndani ya gari nikawaoneshe mashamba yangu na ghala la mpunga na shamba la parachichi.
Walimuachia sijui walikwenda kuripoti Nini kwa bosi wao aliyekua anadhani kila mwenye pesa Ni mwizi.
Fikra za kimaskini mbaya Sana. Maskini anadhani kila mwenye pesa aidha Ni mwizi au kamtoa mzazi wake kafara.
Kama Wana Simba wanadhani Yanga inatumia majini kuzifunga timu nyingine, nashangaa kwanini hao Simba hawanijui hayo majini? Au kwanini hawamtoi kiongozi wao mmoja kafara?
 
The question of who benefited from all these conspiracies, indeed are complex.

Ni nani angefaidika kutokana na kifo cha Hayat Rais John Pombe Magufuli?

Katika ulimwengu huu ambao wafanya biashara wakubwa wanatumia pesa, ushawishi na nguvu kubwa katika kufanikisha Biashara zao haramu kuna zua maswali mengi juu ya Kifo cha Rais ambaye alilala na mafaili yao.

Wajameni, katika nyanja za biashara haramu, kama vile ukwepaji kodi, utakasasishaji wa fedha, biashara za madawa ya kulevya n.k n.k, the stakes are High.

Kusakamwa kwa Hayati Rais J.P.M(R.I.P), iwe kwa character assasination(kitu ambacho Erythrocyte na genge lake la wala njama Wafanyabiashara na CHADEMA wanafanya) ama hata in literal means, yaani mauaji ya kweli, inaweza kuchukuliwa kama hatua za kimkakati kulinda maslahi ku protect interest na ku maintain the flow-yani kudumisha mtiririko wa fedha haramu mtaani

Sio siri katika maelezo ya wakina Erythrocyte utasikia 'Fedha zilipotea' 'Vyuma vilikaza' ama 'hakuna mzunguko wa fedha mtaani'-hayo yote yakiwa matokeo ya Ujasiri wa Hayat Rais John Pombe Magufuli ya kupambana na Rushwa, magendo, na biashara nyingi tu haramu. Mpaka akatungiwa jina la Bulldozer, Jiwe n.k Hiyo yote kwa msimamo wake wakupigana na Biashara zote haramu-na ndio maana ulikuwa Ukismsikia akisema 'hizi ni vita za Uchumi' na hakuishia hapo tu, alikuwa mara nyingi akisema 'anajisacrifice' maneno mazito by any measure. Akiashiri nguvu kinzani alizokuwa akikutana nazo. Nani asiyejua Ulinzi wake ulivyoimarishwa?

Eniweyi,

Wafanyabiashara, kama sio wote walioorodheshwa wamesadikika kuhusishwa na biashara hizo haramu na wala sio siri, wametajwa tajwa kabla ya Ujio wa Hayat Rais J.P.M, ila ni J.P.M ndie aliyekuwa na ujasiri wa kupambana nao.

Lazima Wananchi wawe wadadisi, lazima Wananchi waulize maswali magumu, kamavile...

Je, wafanyabiashara hawa walihusika na kifo cha Rais wetu mpendwa? Je, walishirikiana na mamluki wa Barrick walioletwa kufanya majadiliano ya ukwepaji kodi wa kampuni hiyo?

Ni nani anayefaidika, kwa sasa au aliyefaidika baada ya kifo chake? Makamu wake? Wafanyabiashara? Wanasiasa? Ninani kati ya Wafanyabiashara hawa wanagusihwa moja kwa moja na Marais walio madarakani-walikula njama etc etc

Maswali ni mengi. Ila ni wakati umefika hawa wakimaliza hizi Character assasination tuanze kuuliza.

Aluta Continua
 
The question of who benefited from all these conspiracies, indeed are complex.

Ni nani angefaidika kutokana na kifo cha Hayat Rais John Pombe Magufuli?

Katika ulimwengu huu ambao wafanya biashara wakubwa wanatumia pesa, ushawishi na nguvu kubwa katika kufanikisha Biashara zao haramu kuna zua maswali mengi juu ya Kifo cha Rais ambaye alilala na mafaili yao.

Wajameni, katika nyanja za biashara haramu, kama vile ukwepaji kodi, utakasasishaji wa fedha, biashara za madawa ya kulevya n.k n.k, the stakes are High.

Kusakamwa kwa Hayati Rais J.P.M(R.I.P), iwe kwa character assasination(kitu ambacho Erythrocyte na genge lake la wala njama Wafanyabiashara na CHADEMA wanafanya) ama hata in literal means, yaani mauaji ya kweli, inaweza kuchukuliwa kama hatua za kimkakati kulinda maslahi ku protect interest na ku maintain the flow-yani kudumisha mtiririko wa fedha haramu mtaani

Sio siri katika maelezo ya wakina Erythrocyte utasikia 'Fedha zilipotea' 'Vyuma vilikaza' ama 'hakuna mzunguko wa fedha mtaani'-hayo yote yakiwa matokeo ya Ujasiri wa Hayat Rais John Pombe Magufuli ya kupambana na Rushwa, magendo, na biashara nyingi tu haramu. Mpaka akatungiwa jina la Bulldozer, Jiwe n.k Hiyo yote kwa msimamo wake wakupigana na Biashara zote haramu-na ndio maana ulikuwa Ukismsikia akisema 'hizi ni vita za Uchumi' na hakuishia hapo tu, alikuwa mara nyingi akisema 'anajisacrifice' maneno mazito by any measure. Akiashiri nguvu kinzani alizokuwa akikutana nazo. Nani asiyejua Ulinzi wake ulivyoimarishwa?

Eniweyi,

Wafanyabiashara, kama sio wote walioorodheshwa wamesadikika kuhusishwa na biashara hizo haramu na wala sio siri, wametajwa tajwa kabla ya Ujio wa Hayat Rais J.P.M, ila ni J.P.M ndie aliyekuwa na ujasiri wa kupambana nao.

Lazima Wananchi wawe wadadisi, lazima Wananchi waulize maswali magumu, kamavile...

Je, wafanyabiashara hawa walihusika na kifo cha Rais wetu mpendwa? Je, walishirikiana na mamluki wa Barrick walioletwa kufanya majadiliano ya ukwepaji kodi wa kampuni hiyo?

Ni nani anayefaidika, kwa sasa au aliyefaidika baada ya kifo chake? Makamu wake? Wafanyabiashara? Wanasiasa? Ninani kati ya Wafanyabiashara hawa wanagusihwa moja kwa moja na Marais walio madarakani-walikula njama etc etc

Maswali ni mengi. Ila ni wakati umefika hawa wakimaliza hizi Character assasination tuanze kuuliza.

Aluta Continua
Swali ni Je haya tunayoandika ni uongo ?
 
Kwa hiyo Hawa wa IPTL uliataka waishi vipi?
Hautakiwi kuashughulikia walioshinda tenda inabidi ushughulikie waliotoa tenda. Mtu mpaka anapata tenda serikalini kuna watu kibao wameshaipitisha na wana gawio kubwa kuliko hao waliopata tenda. Kuwatesa walioshinda tenda ni kazi bure maana waliofanikisha ubadhirifu wa mali na fedha za umma wapo na wanakula maisha. Kuna watu wamepewa dhamana ya kulinda mali ya umma. Hawa ndio JPM alitakiwa awafilisi na awape tabu. Mwishowe nchi hii wale waliokuwa na influence kubwa kipindi cha Kikwete bado waliendelea kipindi cha JPM. Ukimuangalia Rostam na Home Shopping Centre. Unahangaika na wafanyabiashara baada ya kuhangaika na TRA. Unahangaika na Migodi badala ya kuhangaika na mawaziri waliokubali hio mikataba. Ndio maana tulishindwa kesi zote hizo. JPM alikuwa ni Rais wa wajinga na wavivu kufikiri
 
Kuna mama mmoja alikua na 600 M bank, wakamfuata mama umetoa wapi pesa yote hii, akawaambia wajinga nyie ingieni ndani ya gari nikawaoneshe mashamba yangu na ghala la mpunga na shamba la parachichi.
Walimuachia sijui walikwenda kuripoti Nini kwa bosi wao aliyekua anadhani kila mwenye pesa Ni mwizi.
Fikra za kimaskini mbaya Sana. Maskini anadhani kila mwenye pesa aidha Ni mwizi au kamtoa mzazi wake kafara.
Kama Wana Simba wanadhani Yanga inatumia majini kuzifunga timu nyingine, nashangaa kwanini hao Simba hawanijui hayo majini? Au kwanini hawamtoi kiongozi wao mmoja kafara?
Hata yule mkulima wa nanasi pale kiwangwa anaitwa mzee mikugo
Ac yke walikuwa mpunga mrefu wakataka kumsumbua akaawambia nyie vp!!!
sema kuna watu walitumia nafasi hyo hyo kuwapora sana watu hela aise

Ova
 
Swali ni Je haya tunayoandika ni uongo ?
Ni nani anayefaidika na Character assasination?

Je, ni uwongo Wafanya biashara wakubwa hawana nguvu?

Ni nani aliyefaidika na Kifo cha Rais Magufuli.

Tunajua Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyefaidika kisiasa-ama kwa bahati au kwa njama. Hiyo ni moja.

Pili, tumeyasikia maneno ya Zitto kabwe, ambaye amedai kuwa walikuwepo watu walioenda kuchota mabilioni ya Fedha Benki Kuu kwa kisingizio cha kutumwa. Na watu waliohusishwa ni Wafanyabiashara?, watendaji wakuu na wanasiasa-hiyo tu ni kielezo tosha na inatueleza kuwa wapo waliofaidika na aidha wakati Raisi akiwa mgonjwa na mpaka masaa na dakika wa Umauti wake....watu walikuwa wakijichotea kile kinachodaiwa fedha zao zilizoporwa? ni kweli hayo?

Itoshe, hizi kampeni mnazozifanya ni kama tu za kuwasafisha watu ambao kwa namna moja au nyingine waliguswa wakati wa Vita za Kiuchumi. Kuanzia Wawekezaji(wazungu na wageni wengine) Wafanyabiashara wa ndani(vibaraka na mawakala wa mabeberu) Wanasiasa, Watendaji wakuu n.k n.k.

Sasa tukipiga kurunzi na kudadisi na kuchambua kwa undani Uzi zako ambazo Unaanza kwa kudai Ukuu wa Mungu(ni dhambi kubwa by the way) ndio unakupeleka kufanya hivyo, binafsi I can infer Umetumwa.

Umetumwa na nani? Je, ni wale waliofaidika na kifo chake? Absolutely.

Kuanzia Wanasiasa, Watendaki wakuu wa Serikali mpaka hawa Wafanyabiashara na wengine wengi tu ambao kwa namna moja au nyingine wamehusishwa na Uhalifu-Una watetea wote

Kwa kweli inaibua maswali mengi tukizingatia kwamba wewe Erythrocyte unajinasibu kuwa ni "Mwangaza wa Ukweli' Sasa unaangaza huo mwanga wapi? Kwa wahalifu peke yake?

Eniweyi malizia nyuzi zako, ila inatupatia sehemu ya maelezo ambayo wananchi wanayatafuta/ tuna tafuta,
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini , ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto , kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi , basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa .

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum , yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa , wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa .

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya , Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji , Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu

View attachment 2938993

Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri , hapa kosa lake lilikuwa nini ? kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali .

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain , huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL , kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela

View attachment 2939007

Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana uhusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL na kumdhulumu Rugemalira , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira , Tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake , yaani mpango ulikuwa ni kumpa hisa zote za IPTL Harbinder ili kumpiga Ruge (Hili ndio lilisababisha Tibaijuka kufutwa uwaziri , achaneni na zile porojo zingine)

Kwa wasiolewa hapa ni hivi , huyu Ruge alikuwa na hisa zake za IPTL kama vile Karamagi alivyokuwa TICS , hivi leo unaweza kuzuia hisa za Karamagi huko TICS ukaeleweka ? Kama Ruge angekuwa na Kiherehere kwa zile hisa za 30% kwenye IPTL ndiye angekuwa msemaji na kiongozi wa IPTL kama alivyokuwa Karamagi na hisa zake za 30% TICS , hapa naandika ili kuonyesha kwamba Ruge alionewa tu na ndio maana Ameachiwa huru bila masharti yoyote .



View attachment 2939017

Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi , huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno , zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela ? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu , bali ni laana kuu kwa Mungu .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
wavivu, wadanganyafu na matapeli waliongoka...
 
Ni nani anayefaidika na Character assasination?

Je, ni uwongo Wafanya biashara wakubwa hawana nguvu?

Ni nani aliyefaidika na Kifo cha Rais Magufuli.

Tunajua Rais Samia Suluhu Hassan ndiye aliyefaidika kisiasa-ama kwa bahati au kwa njama. Hiyo ni moja.

Pili, tumeyasikia maneno ya Zitto kabwe, ambaye amedai kuwa walikuwepo watu walioenda kuchota mabilioni ya Fedha Benki Kuu kwa kisingizio cha kutumwa. Na watu waliohusishwa ni Wafanyabiashara?, watendaji wakuu na wanasiasa-hiyo tu ni kielezo tosha na inatueleza kuwa wapo waliofaidika na aidha wakati Raisi akiwa mgonjwa na mpaka masaa na dakika wa Umauti wake....watu walikuwa wakijichotea kile kinachodaiwa fedha zao zilizoporwa? ni kweli hayo?

Itoshe, hizi kampeni mnazozifanya ni kama tu za kuwasafisha watu ambao kwa namna moja au nyingine waliguswa wakati wa Vita za Kiuchumi. Kuanzia Wawekezaji(wazungu na wageni wengine) Wafanyabiashara wa ndani(vibaraka na mawakala wa mabeberu) Wanasiasa, Watendaji wakuu n.k n.k.

Sasa tukipiga kurunzi na kudadisi na kuchambua kwa undani Uzi zako ambazo Unaanza kwa kudai Ukuu wa Mungu(ni dhambi kubwa by the way) ndio unakupeleka kufanya hivyo, binafsi I can infer Umetumwa.

Umetumwa na nani? Je, ni wale waliofaidika na kifo chake? Absolutely.

Kuanzia Wanasiasa, Watendaki wakuu wa Serikali mpaka hawa Wafanyabiashara na wengine wengi tu ambao kwa namna moja au nyingine wamehusishwa na Uhalifu-Una watetea wote

Kwa kweli inaibua maswali mengi tukizingatia kwamba wewe Erythrocyte unajinasibu kuwa ni "Mwangaza wa Ukweli' Sasa unaangaza huo mwanga wapi? Kwa wahalifu peke yake?

Eniweyi malizia nyuzi zako, ila inatupatia sehemu ya maelezo ambayo wananchi wanayatafuta/ tuna tafuta,
Nilimpa za uso jiwe akiwa hai , leo kafa ndio nitumwe ! dharau kubwa sana ! yaani kwa vile nyie mnatumwa ndio mtusingizie na sisi ?

Iko hivi , ukiona tunamchafua Bwana Jiwe basi wewe weka uzi wa kunsafisha , Umewekewa hadi ushahidi wa wazi lakini unang'ang'ana tumetumwa ! kama hujalogwa basi labda ulizaliwa na matatizo ya akili .
 
Back
Top Bottom