Awamu ya tano halalisheni Ukahaba

Mchumi90

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,080
1,284
Wana jamvi niwape salamu za kutosha...Kama kila mtu anavyojua sasa hivi tupo kwenye kipindi cha kampeni na hatimae tarehe 25 tutapiga kura ya kuchagua raisi,wabunge na madiwani.

Hili ni wazo langu, nahisi ni wakati muafaka biashara ya ngono kuhalalishwa kwa sababu zifuatazo,

Kwanza itachangia kuongeza pato la serikali kuu kwa kukusanya kodi kwa watoa huduma (ukipata huduma ukumbuke kudai risiti kwa aliyekupa huduma) na hili linawezekana kabisa hata kwa kuwapa vi efds vyao bure.

Pili wigo wa ajira utakuwa mkubwa na hata heshima kwao itaongezeka, hata akikuzulumu una haki ya kumshitaki (wangapi mmelizwa nao mkaamua kuumia tu moyoni, tena Kimboka ni janga katika hili).

Nawasilisha hoja, leteni comments za kuongezea nguvu hoja hii kwa manufaa ya taifa na kizazi chetu.
 
Mbona umetaja Kimboka tu,hebu taja na maeneo mengine ambayo Serikali ikiamua kuhalalisha hiyo biashara itajipatia mapato
 
Kwani kuna mtu aliwahi kwenda kwa kahaba akakataliwa kwa sababu serikali haijahalalisha?
 
Bei zitapanda sana maana kutokana na kukatwa kod....bora hiv hiv ataukiwa na bu 20 au 30 unajipigia vitatu au vinne unasepa zako ,,,,,ila kukiwa na kodi tuu basi bao moja itakuwa ni 50 ,

mimi napinga hoja ya kuihalalisha hii biashara
 
naona mdogo mdogo mnaanza kuparaza njia ili hoja ya ushoga nayo ije kutawala.
Hizi habari za kifirauni hebu ziacheni.
Au mmechoka kuishi maisha mazuri sasa mnatamani mambo ya motoni?
 
Mbona umetaja Kimboka tu,hebu taja na maeneo mengine ambayo Serikali ikiamua kuhalalisha hiyo biashara itajipatia mapato

Zipo sehemu nyingi tu, Uwanja wa fisi, sudani kwa wahaya, sinza mori & ambiance, masakuu-mbagala etc
 
Bei zitapanda sana maana kutokana na kukatwa kod....bora hiv hiv ataukiwa na bu 20 au 30 unajipigia vitatu au vinne unasepa zako ,,,,,ila kukiwa na kodi tuu basi bao moja itakuwa ni 50 ,

mimi napinga hoja ya kuihalalisha hii biashara

Mkuu usiogope kabisa tutakuwa na mamlaka ya kuthibiti bei kama sumatra.
 
Mkuu unataka kutuongezea gharama kwa VAT,sasa tutarefund vipi hizo VAT? EFDs zitapanda bei sana
 
Yaani n akili zako timamu unahalalisha zinaa? uzinzi,
je, mkeo akiwa ataenda huko kujiuza utajisikiaje? utamfukuza kwako?
 
Back
Top Bottom