Yangu ni nzuri sana. Inakumbusha kuwa CCM ni PYRANIA wa Uchumi wa Tanzania. Ndiyo maana kofia imeandikwa TC yaani CCM Tanzania. Hiyo inatokana na kuwa CCM zipo nyingi duniani.
ONYO: Ukifika mtoni au bwawa, uliza kwanza wenyeji kama hilo eneo kuna PYRANIA. Vinginevyo, you are eaten alive.
Hivi hawa jamaa ni this deadly?