EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,092
Huwa nikiitazama nacheka sana maana inanikumbusha kwamba tumewahi kuidiscuss sana picha hiyo wakati tu imetoka na nakumbuka maneno ya watu........Dah walah nafurahi mie!
Thank you MadameX kwa kunifanya nitabasamu kila mara ninapopita na kukuta avatar yako
Acha wivu
Dah kuna watu huwa hawalali humu eeh! Hii inaonyesha ni namna gani hawana wenza au kama wanao wamewachoka au wamechokana. Post saa 7,8,9 usiku khaaa!
Kuna mpango kazi wa kuigeuza JF the next FB!!