mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 237
Mpevu na mimi ninafikiria hiyo hiyo inanisumbua kichwani! Sio kwamba namuunga mkono Ghadafi kuwauwa raia, hapana lakini je hawa mabwana wakubwa hawawaoni raia wa kisomali wanavyoendelea kuuwawa kwa miaka yote hiyo?