Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,340
- 10,957
refa anatoa kadi ya njano kwa kavumbagu, anadai kajiangusha
Mwache apewe
refa anatoa kadi ya njano kwa kavumbagu, anadai kajiangusha
Arusha bado 0-0 kipute kinaendelea
Tumeshawakamata sasa!
Uhuru Selemani alimpiga kofi la uso Juma Abdul na lefa kachuna,ila dogo kisharudi ndani.
Mbeya city 1 ruvu 0
Sokoine vipi?
Sure mkuu.But hawa Coastal wamekuja kutuumizia wachezaji wetu.Maana wanapiga viatu vya hatari aise.kweli mkuu, tumewatuliza, ila hizi buti kuna red card hapa
Kama kawa kama dawa,leo tupo hapa kuwajuza live vipute vya big three's(Yanga,Simba na Azam)
Utabili wangu:
Yanga2-1coastal union
Rhiono1-1Azam
Oljoro0-0Simba
Nawasilisha.
Tabora dk19 Rhino0-0Azam!
Pamoja mkuu.hapa ARUSHA ni dakika ya 24 sasa, Simba wanapata kona