Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
na ubaloz unalindwa na fbi mm nilijua unalindwa na askar wa marekan
Kwani FBI ni wawapi?
na ubaloz unalindwa na fbi mm nilijua unalindwa na askar wa marekan
Acheni uzushi, je kuna kitu gani kinaonesha ni gaidi??? Mbona huyo anaonekana ni mpita njia tu ambaye kauliwa. Inasikitisha sana kama tutauana kwa kisingizio cha muonekano. Ifikie pahala tuaminiane.
Gaidi anatinga na kisu tu eneo sensitive kama ubalozi wa Marekani? Wakenya wenye Asili ya Somalia wanaisoma namba huko Kenya aisee
Hahahah ni mawe kaka bora huyo ana kisu,yaani 21 century watu wanaleta mambo ya vita vya majimaji mbele ya machine gun.Wapalestina kila saa wanavaamia waisrael na visu ....
Swadakta na waambie wafanye ref ya case ya Ghailan a Zanzibar .nyie wabongo mnapenda kushabikia alshabaab sana ndio maana vijana wenyu wengi wanavuka na kwenda somalia kujiunga na hawa magaidi. Inafurahisha pale unapodhani nyinyi mko immune na hawa watu, kuna sleeper cells nyingi sana inactive hapo bongo, na usijidanganye kuwa itakua hivyo milele, mda kidogo tu na utaona hao unaowasifu wanakuulia ndugu zako, hapo ndipo utajua nini maana ya terrorism na adhari zake kwa jamii.
Umesoma vizuri bandiko mkuu?Basi huku kwetu wangeuawa wengi, maana wengi wanatembea na visu hasa watu wazima haijalishi kabila gani, anakuwa na kisu chake kiunoni wala hakuna anayejua, wenyewe wanakwambia me lazima awe kisu kiunoni.
Toka lini kujua ikawa shida?endeleabkubaki zuzu!Cyber crime na wengine huyu ni mteja wenu, anajua mambo mengi ya ugaidi kazi kwenu
huoni kisu hapo karibu yake alichotaka kumchoma askari?Acheni uzushi, je kuna kitu gani kinaonesha ni gaidi??? Mbona huyo anaonekana ni mpita njia tu ambaye kauliwa. Inasikitisha sana kama tutauana kwa kisingizio cha muonekano. Ifikie pahala tuaminiane.
Hahahah ni mawe kaka bora huyo ana kisu,yaani 21 century watu wanaleta mambo ya vita vya majimaji mbele ya machine gun.
Ngoja nikavae mikwamo nakujaUmesoma vizuri bandiko mkuu?
Kwani tatizo ni kutembea na kisu au kujaribu kukitumia kisu kudhuru?
Unless uniambie wewe mpagani ila kama una imani hizi tunazoamini zinamtukuza Mungu basi nakuhakikishia unapoteza muda wako tu,ishi na watu wa imani tofauti na yako vizuri ili wapate kuona kile unachokihubiri sio kuwaonyesha chuki hakuna imani inayofundisha hivyo,Mungu habagui anatupa wote riziki tuwe wabaya tuwe wazuri wewe ninani hadi umchukie mwenzako usiyejua kesho yake?nakushauri mkuu jirudi ukiitaka pepo jifunze kuwapenda walio na tofauti na wewe.Mi MTU akivaa tuu kanzu linaloashiria ni muislaam na vile sijaishi maeneo yenye waislaam wengi nachukia mbaya, simuamin,kwa kifupi nambagua kiaina sina story na huyo kwenye picha na muona ni kizazi kileeee alla akhubar
Wee una uhakika gani na aliyeuwawa alikuwa gaidi? Au kwasababu hapo umewaona fbi? DahKwa hiyo na wewe unashabikia ugaidi?
You need a good dickingHuyo chizi mmoja wa Nairobi maisha yamemshinda, Al Shabab wanakwenda ku attack na kisu kimoja? Sivyo tulivyozowea kuwasoma.
You need a good dicking
Soma vizuri news yenyewe wacha kukurupuka na comments za ufala
He stabbed a kenyan police man in the head and chest before the police shot him dead
kama kungekua na damu kwenye kisu affisaa angekua kauwawa.... ukidunga mtukisu hadi kiingie ndani ya mwili (deep cut) ndo damu itabaki kwa kisu..... anyway, hii investigation inafanywa mara mbili.... upande mmoja na polisi wa kenya na upande mwengine na FBI.... wale FBI kilamtu anajua hao ni wakali wao, watakagua kila kitu, watachanganya ushahidi kitoka kwa waliokua wako karibu, ... alafu isitoshe pale karibu na huo mlango hua kuna kamera ilio chukua kila kitu.... kwahivyo tungoje tusike in estigation zikikamilikaHakuna damu kwenye kisu, tafuta picha huku za huyo msomali na kisu chake, chunguza kama utaona damu kwenye kisu.