Risk taker
Member
- Jan 20, 2009
- 35
- 0
Kampuni ya ndege nchini-ATCL- kuongezewa kiasi cha sh. bilioni 2.6
2009-01-30 12:34:45
Na ITV Habari
Serikali kupitia wizara ya miundo mbinu imepanga kuliongezea kampuni ya ndege nchini-ATCL- kiasi cha shilingi bilioni 2.6 kati ya shilingi bilion 4.5 iliyokwishazitoa na kufanya jumla ya fedha itakazotoa kwa shirika hilo kufikia shilingi bilion 7.1 ambazo zitatumika katika kuliongezea nguvu shirika hilo.
Waziri wa miundo mbinu Dkt Shukuru Kawambwa amesema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ripoti ya taarifa ya kikundi kazi kuhusu hatua za kuimarisha kampuni ya ndege Tanzania-ATCL.
SOURCE: ITV
2009-01-30 12:34:45
Na ITV Habari
Serikali kupitia wizara ya miundo mbinu imepanga kuliongezea kampuni ya ndege nchini-ATCL- kiasi cha shilingi bilioni 2.6 kati ya shilingi bilion 4.5 iliyokwishazitoa na kufanya jumla ya fedha itakazotoa kwa shirika hilo kufikia shilingi bilion 7.1 ambazo zitatumika katika kuliongezea nguvu shirika hilo.
Waziri wa miundo mbinu Dkt Shukuru Kawambwa amesema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa makabidhiano ya ripoti ya taarifa ya kikundi kazi kuhusu hatua za kuimarisha kampuni ya ndege Tanzania-ATCL.
SOURCE: ITV