eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,662
- 13,820
Kwa kifupi, hawako masikini kama unavyofikiria, hiyo hasara unayosema inakuhusu wewe
Hasara kwenye corporate world haiangalii how much you earn or own.
Kwa kifupi, hawako masikini kama unavyofikiria, hiyo hasara unayosema inakuhusu wewe
Kuna demand kubwa sana kutoka Tanzania & East Africa kwenda domestic India for business, leisure, studies na hiyo health tourism. India ni top 5th international tourist arrivals to Tanzania (wanapitia Bole na JOMO etc). Tanzania is second with the most Indian diaspora in East Africa. All this makes Dar-Mumbai route very lucrative.Rwandair walitaka kwenda Mumbai via Dar ila slot is reserved for ATCL. Hii ruti ni dili tangu 80's Ethiopian/ATCL (kwa makubaliano ya profit sharing) walitaka kwenda Dar-Mumbai kwa kutumia 767 ya kwao lakini ticket/flight ya ATCL lakini due to majungu ikashindikana. China (Guangzhou) is next.Wangeenda China walau kuna wafanyabiashara, India sijui,kuna biashara gani zaidi ya medical tourism
Ya kumpeleka supika Ngugugai.Ha ha haana...
Ambulance to mumbai
Kwa nini Mumbai? Tuna abiria wengi zaidi ya wagonjwa (na wasindikizaji wao) wanaoenda huko kutibiwa? Na sasa idadi imepungua maana serikali yety imebana huko. Nilifikiri China ingefaa kwa wafanyabiashara wetu ambao wanaleta mizigo toka huko! Ingawa nayo imepungua maana Kariakoo kwa sasa siyo ivyokuwa miaka michache iliyopita.MUMBAI Fly Air Tanzania Dreamliner 787 direct from Dar es Salaam to Mumbai. Watch this space for more details. [HASHTAG]#TheWingsOfKilimanjaro[/HASHTAG] [HASHTAG]#EndeleaKupsauaAnga[/HASHTAG] [HASHTAG]#Mumbai[/HASHTAG] [HASHTAG]#India[/HASHTAG] [HASHTAG]#Dreamliner[/HASHTAG]
View attachment 766774
View attachment 766779
Acha use'''nge wewe, umeharibu kwa kutumia neno "Nonsence" unawezaje kulazimisha kila mtu afikirie kama wewe, kama ingekuwa hivyo hakungekuwepo na maendeleo maana wote wangekuwa wajinga au werevu, hakuna ambaye angefanya jitihada.Ndege zipo mbili, unataka zote zienda china. Nonsence. Pia ndege ikienda mumba haijazuiliwa kwenda na ruti ingine
Baada ya Bombay ni Guangzhoukwann wasingeanza na China
Ubazungumzia Emirates au Qatar?Ndio walileta ndege 2 kuanzia 2014 hadi 2016 wakajitoa
Ilikuwa ya usiku na mchana
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Hivi mnataka mfanyiwe nini ndio mridhike , Mungu anawaona na vijiba vyenu vya rohoYaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee
Ukienda huko kwa watalii wachache ndio wataongezeka...!!walikuwa hawaji partly because hakukuwa na direct flight.
Tangaza nauli tuone ushindani ukoje dhidi ya existing airlinesMUMBAI Fly Air Tanzania Dreamliner 787 direct from Dar es Salaam to Mumbai. Watch this space for more details. [HASHTAG]#TheWingsOfKilimanjaro[/HASHTAG] [HASHTAG]#EndeleaKupsauaAnga[/HASHTAG] [HASHTAG]#Mumbai[/HASHTAG] [HASHTAG]#India[/HASHTAG] [HASHTAG]#Dreamliner[/HASHTAG]
View attachment 766774
View attachment 766779
MTU mwenye akili hawezi panda ndege ya shirika linalodaiwaNi swala zuri sana ila je abiria wapo kiasi gani? Isije kuwa kama KQ walienda wakaamua kupunguza safari maana ndege ilikua yarudi robo.
Afu ni ngumu MTU kuacha Emirates, Qatar na Etihad kupanda ATCL/KQ
Hapana. Maneno yako haya; "More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).", ndio fake!Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.
More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).
Alafu ni comming or coming?
Hili tangazo huenda ni feki!!
Hiyo kweli kabisa kaka, lakini watanzania tuna shida moja; Mbona mtu akishakuwa kwenye madaraka au akiwa mwanasiasa anakua anajua kila kitu? Maamuzi mangapi yanafanywa kisiasa bila kuhusisha wataalamu husika? Nadhani hawa watawala wetu wangefuata haya uliyosema "ingependeza zaidi"You better keep quiet if you know nothing my dear. We have a decease called UJUAJI. Same person is a Driver, Police Economist, Teacher and kilakitu. Siyo fair jamani. Acheni watu wafanye kazi zao. Kama wewe ni Mchumi acha mtu wa Mipango nae afanye yake. Mwalimu acha Mlinzi afanye yake. Mhasibu acha daktari afanye kazi yake. Huwezi kufahamu kila kitu ndugu. Mnajiaibisha. Hata wakipata hasara hawatakuwa wa kwanza maana Kenya Airways wanazipata na wanasonga mbele. Acheni ujuaji. Tunawachoka.
vizuri uweiweka ki utaalamu zaidi nimekukubaliKuna demand kubwa sana kutoka Tanzania & East Africa kwenda domestic India for business, leisure, studies na hiyo health tourism. India ni top 5th international tourist arrivals to Tanzania (wanapitia Bole na JOMO etc). Tanzania is second with the most Indian diaspora in East Africa. All this makes Dar-Mumbai route very lucrative.Rwandair walitaka kwenda Mumbai via Dar ila slot is reserved for ATCL. Hii ruti ni dili tangu 80's Ethiopian/ATCL (kwa makubaliano ya profit sharing) walitaka kwenda Dar-Mumbai kwa kutumia 767 ya kwao lakini ticket/flight ya ATCL lakini due to majungu ikashindikana. China (Guangzhou) is next.
Siku Magufuli akiondoka madarakani hizi ndege zitageuzwa "air unga".Jambo jema