ATCL kuanza direct flights to Mumbai

Hakuna utafiti wa kijinga hivyo, pia huwezi kufanya utafiti kwa kujalibu kuland dege la trilion 200, kuituisha kwa kujaribia. Walishatuma ma engineer kufanya study wakadecrale kuwa a380 inaweza kutua. Na ujue kuwalaza abiria siku2 five star hotel ni hasara ujue, ile ndege nishaipanda mara mbili inameza abiria 860. Jiulize kama ilikuwa full mzigo hao wote walale hoteli ya laki3 ni sh ngapi hapo. So before you comment fikiria kwanza
Kwa kifupi, hawako masikini kama unavyofikiria, hiyo hasara unayosema inakuhusu wewe
 
Habari njema na yenye ubunifu wa hali ya juu,
Hongereni Management ila msipuuze ushauri.
Fungueni milango nyinyi kwa nyinyi msidharauriane. Kila mmoja wenu ajishushe na kupokea ushauri.

Pokeeni ushauri pia toka kwa wengine, msijifungie kusuburi ushauri tokeni fuateni ushauri. Serikali imetumia fedha nyingi na inazidi kutumia, dhamana kubwa mmekabidhiwa nyinyi.

Mkifanya kiburi na kujiona nyinyi ndo nyinyi malengo hayatafikiwa, mmeanza na hiyo safari, kisha anzisheni nyingine na nyingine na nyingine

Viva ATCL
 
Yaani mtu aache Emirates, Qatar na Etihad zenye Warembo na Huduma nzuri vile aje kupanda ATC yenye Wahudumu wazembe hivyo. Halafu KQ pamoja na bidii zote za kutangaza na lobying washindwe ATCL iweze !!! Endeleeni kuongeza hasara.
There you go, Watanzania kama kawaida yetu.
 
Nasikitika sana nikiona watu wanavyo comment maneno ya kukatisha tamaa, kwa nini watu hawako positive? kwa nini wakati wote wanajitahidi kukatisha tamaa yumkini hata vitu vyao vya ndani? Utanzania wetu upo wapi. Je, unafikiri atatokea mtu wa taifa lingine aje kusifia vya kwetu? Ni rahisi sana kuwaongoza watu wajinga wa namna hii.
 
You better keep quiet if you know nothing my dear. We have a decease called UJUAJI. Same person is a Driver, Police Economist, Teacher and kilakitu. Siyo fair jamani. Acheni watu wafanye kazi zao. Kama wewe ni Mchumi acha mtu wa Mipango nae afanye yake. Mwalimu acha Mlinzi afanye yake. Mhasibu acha daktari afanye kazi yake. Huwezi kufahamu kila kitu ndugu. Mnajiaibisha. Hata wakipata hasara hawatakuwa wa kwanza maana Kenya Airways wanazipata na wanasonga mbele. Acheni ujuaji. Tunawachoka.
Mimi nawasikitikia watanzania wa aina hii, yaani kwao wanajua kila kitu and they always one sided mind,to them they are taken negativity ill.
 
Mzigo kwa walipa kodi huo unaenda kuongezeka.

More routes, more loss; the longer the routes, the bigger loss we incur(disturbing fact).

Alafu ni comming or coming?

Hili tangazo huenda ni feki!!
Acha majungu ukute hata mgahawa wa chai huna.
 
Kuna chaka tunaingizwa hapa ndg Bujibuji. Hio route waliishindwa Air India na Gulf Air, sisi tutaiweza? Oman air, Etihad, Dubai One, Qatar Airways na Emirates kila mmoja anapeleka midege yake huko na service zao ni world class. Sie tutaweza kweli na catering za Shishy Baby?
Kwa fikra hizo basi tusiende wanapokwenda hayo mashirika ya ndege??? Air India walipata matatizo kuelekea kufilisika waka drop route ya Nairobi na Dar es Salaam 2010 ili kijipanga na sio kwamba 'route' iliwashinda kwa maana ya uwezo wa abiria. Gulf Air walibadilishana route kwa codeshare na Oman Air waka drop Dar. Kuna mambo mengi achana na 'world class' abiria anachagua aruke na shirika/ndege gani...kwa mfano wapo kutoka Dar au kutoka Mumbai wanao taka direct flight bila kupitia hubs kwa sababu tofauti.
 
Jf inaongoza kwa kuwa na members wengi wasio na taarifa sahihi, ila kwa uboya wao wanaamini kabisa taarifa zao ni sahihi.
 
Kwasababu inakuja kabla ya CS300 then baadaye CS300 itaweza kwenda. Lakini pia wataangalia kama abiria wengi wataendelea kutumia 787.
Ningewajua waliotumwa kununua ndege ningewauliza maswali yafuatayo:
Nyie ni marubani wazoefu na mnafaham hali ya shirika letu kifedha na nia ya serikali ya kulifufua.Ni nini kilipelekea mkachagua Bombardier CS 300 badala ya Boeing 737 MAx au A320 neo (Kama tungekuwa tumeopt kuleta A330 au A350)?
Kwa mashirika machanga inashauriwa kumaintain aircraft kutoka kampuni moja kwa sababu ya upunguzaji wa gharama (ufundi na mafunzo).sisi tunataka kugrow kwa maana ya kuwa na ndege za classes tofauti mfano B737-B787-B777 au A320-A330-A350.Ilikuwa kuwaje tukaagiza CS 300 ? kwa sasa Bomardier wameuza program ya Bombardier CS series kwa Airbus hivyo tutarajie CS series zitachukua sura ya Ki airbus airbus. Inachukua ciku chache sana za mafunzo kwa rubani kutoka mfano B737 kwenda b787.Ukitokea CS 300 kwenda B787 ni miezi sita darasani.nani analipa fee na per diem ? kumbukeni hatuna mpango wa kuajiri marubani wazungu hivyo kuna suala la training hapa kwa wazawa.

Mumbai ni ruti nzuri lakini kwa maoni yangu shirika lina grow vibaya.Ingekuwa mimi ni sehemu ya timu iliyotumwa na mheshimiwa kununua ndege pamoja na wataala wengine wa wizara na ATCL ningeshauri tugrow hatua kwa hatua.tungenunua Bombardier Q400 na bombardier CRJ 900 kwa ajili ya soko la ndani na Africa mashariki na kati.tuna bandari pamoja na mpango ule wa Bagamoyo ecoomic zone tungejaza hizi ndege kila siku.Then tunaorder boeing 737 MAX 9/10 kwa ajili ya ruti za Africa magharibi,kusini mwa Africa,Middle East na India.Tukimaliza hapo tunaleta B787-800 kwa ajili ya ruti za ulaya na B787-900 kwa ajili ya Marekani na Uchina.

I hope kuna mipango mizuri once terminal three itakapokwisha basi tutengeze Hub yetu kwa ajili ya nchi za mashariki na kusini mwa Africa.Location ya Dar ina favor burning cost wakati wa kutake off hivyo faida itakuwa nzuri.

Nimalize kwa kusema:
Kila siku ukiwa Zanzibar zinakuja Charttered airlines kama Aero lingus,Thomas cook n.k Zikileta wataalii na ni ndege kubwa sana.Investment ya Airliners tukiiweka vizuri inalipa.Na hapa namaanisha ununuzi wa ndege ,Menejiment ya shirika la ndege,Mafunzo ,Maslahi ya Marubani na Waandisi na muunganiko wa mkakati na Taasis nyingine kama wizara ya Utalii na Maliasili.
Ikiwezekana tuanzishe Sub sidiary airline kwa jina la Air Tanzania Express itakakyokua na ndege ndogo za abiria kati ya 50 mpaka 30.Tuanze na ile 5H-MWF na tutafute ndege kama Beechcraft superking,Dornier 328 au Saab 340.Mtalii akitua KIA Zanzibar au DAR anaweza tumia Shirika letu lingine kwenda Mbugani na kwingine kwa utaratibu uliopangwa vizuri
 
Ningewajua waliotumwa kununua ndege ningewauliza maswali yafuatayo:
Nyie ni marubani wazoefu na mnafaham hali ya shirika letu kifedha na nia ya serikali ya kulifufua.Ni nini kilipelekea mkachagua Bombardier CS 300 badala ya Boeing 737 MAx au A320 neo (Kama tungekuwa tumeopt kuleta A330 au A350)?
Kwa mashirika machanga inashauriwa kumaintain aircraft kutoka kampuni moja kwa sababu ya upunguzaji wa gharama (ufundi na mafunzo).sisi tunataka kugrow kwa maana ya kuwa na ndege za classes tofauti mfano B737-B787-B777 au A320-A330-A350.Ilikuwa kuwaje tukaagiza CS 300 ? kwa sasa Bomardier wameuza program ya Bombardier CS series kwa Airbus hivyo tutarajie CS series zitachukua sura ya Ki airbus airbus. Inachukua ciku chache sana za mafunzo kwa rubani kutoka mfano B737 kwenda b787.Ukitokea CS 300 kwenda B787 ni miezi sita darasani.nani analipa fee na per diem ? kumbukeni hatuna mpango wa kuajiri marubani wazungu hivyo kuna suala la training hapa kwa wazawa.

Mumbai ni ruti nzuri lakini kwa maoni yangu shirika lina grow vibaya.Ingekuwa mimi ni sehemu ya timu iliyotumwa na mheshimiwa kununua ndege pamoja na wataala wengine wa wizara na ATCL ningeshauri tugrow hatua kwa hatua.tungenunua Bombardier Q400 na bombardier CRJ 900 kwa ajili ya soko la ndani na Africa mashariki na kati.tuna bandari pamoja na mpango ule wa Bagamoyo ecoomic zone tungejaza hizi ndege kila siku.Then tunaorder boeing 737 MAX 9/10 kwa ajili ya ruti za Africa magharibi,kusini mwa Africa,Middle East na India.Tukimaliza hapo tunaleta B787-800 kwa ajili ya ruti za ulaya na B787-900 kwa ajili ya Marekani na Uchina.

I hope kuna mipango mizuri once terminal three itakapokwisha basi tutengeze Hub yetu kwa ajili ya nchi za mashariki na kusini mwa Africa.Location ya Dar ina favor burning cost wakati wa kutake off hivyo faida itakuwa nzuri.

Nimalize kwa kusema:
Kila siku ukiwa Zanzibar zinakuja Charttered airlines kama Aero lingus,Thomas cook n.k Zikileta wataalii na ni ndege kubwa sana.Investment ya Airliners tukiiweka vizuri inalipa.Na hapa namaanisha ununuzi wa ndege ,Menejiment ya shirika la ndege,Mafunzo ,Maslahi ya Marubani na Waandisi na muunganiko wa mkakati na Taasis nyingine kama wizara ya Utalii na Maliasili.
Ikiwezekana tuanzishe Sub sidiary airline kwa jina la Air Tanzania Express itakakyokua na ndege ndogo za abiria kati ya 50 mpaka 30.Tuanze na ile 5H-MWF na tutafute ndege kama Beechcraft superking,Dornier 328 au Saab 340.Mtalii akitua KIA Zanzibar au DAR anaweza tumia Shirika letu lingine kwenda Mbugani na kwingine kwa utaratibu uliopangwa vizuri
Wacha ujuaji wewe hatuwezi kungoja namna hii! Dreamliners zinahitajika mbili tena sasa na ninamshauri Magufuli aangelie namna ya ku-place more orders za another 3 Q400, 2 C300, 2 Dreamliners na at least 2 B767 freighters for cargo. Hatu-modernize airports around the country for nothing! Tourism numbers r to hit 3 mln tourists with ReGROW implementation plus more agricultural output in the Southern Higher lands under SAGCOT. Too many fresh produce down there.
 
Ndio kuna watalii wengi Huko? Tuliambiwa hili dege ni mahususi kwa kuvutia watalii kuja kutembea nchini kwetu, Leo linageuzwa kuwa ambulance, mweee

Ili kutua viwanja vya ndege vya nchi za Ulaya na America lazima operator awe ametokea kwenye kiwanja chenye standard inayokubalika. This means prior commencement of this routes to Europe and USA - Our ports and equipment should undergo an inspection and awarded a certificate... it is not a matter of buying an equipment and start operation like daladala
 
Wangeenda China walau kuna wafanyabiashara, India sijui,kuna biashara gani zaidi ya medical tourism
Madawa tunayotumia katika hospitali zetu huingizwa kutoka India na hasa Mumbai, Kariakoo kama kitovu cha biashara ya nchi hii imejaa waasia ambao huagiza bidhaa zao kutoka kwao. Pamoja na utalii tiba nadhani bado hiyo njia ina tija na kwa kuanzia imekaa vizuri.
 
Back
Top Bottom