Dividend
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 2,080
- 3,261
Na bashite naye alishawai kujiita yeye ni mungu wa dar es salaam na akaenda mbali zaidi na kudai Mungu hana nafasi tena kwenye dunia hiiKuna Yule RC wa Iringa aliisema
"HAKUNA na hasifananishwe na kiumbe/mtu yeyote labda MUNGU TU"
kwa manaa Nyingine halisema wamfananishe na Mungu
Hawa viongozi huwa wanajisahau Sana
na kwa unafiki wa viongozi wa dini.
Jumapili utakuta akienda kusali watamchekea Tu.na kumsafisha
Sent using Jamii Forums mobile app