mimi ningekuwa president mngeniloma. Maanake mgenichukia kwa miaka ishirini na kunipenda mpaka nchi inafutika na kujegewa statute kama maraisi wa USA. Ni kuwapeleka puta kama gadafi mpaka mkome. Yaani jambo la kusolve kwa dakika linakuwa story, hii ni sawa na kumwambia mzazi unanuka kikwapa hujaoga.