Mdudu halisi
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 2,730
- 4,768
Ni afadhali yeye amesema ukweli ili Rais wa Iraq apate kujifunza, kwa maana akiwa majukwaani (mzee wa Iraq) utamsikia "Viongozi wa dini iombeeni amani nchi yetu" huku yeye mwenyewe akivitumia vibaya vyombo vya dola .