Chungchung changchang
Member
- Oct 15, 2021
- 64
- 80
Ukiitwa kwenye Maadili unajitahidi uwe Muadilifu watakavyo kuagiza....
Kama mtemi Hangaya mwenyewe wananchi walimwambia hatuchanjwi mble ya Gwajima,halafu kiumbe asiyejulikana anakuja na Uzi huu, nakubaliana na wazo lako,kumbe Kuna kingine zaidi wanataka.Tatizo lao sio kwamba Gwajima Askofu kashindwa! Wanataka aendelee kuongea ili waendeleze propaganda za gang! Gwajima alishashinda kila mtu mwenye akili anajua ila wanalotaka aendelee kuongea ili waanze mambo ya Sukumagang,au pushgang!
Na umekubalika sana.Uzi teyari.
Anasema anaweza kumfufua aliyekufaAna kanisa la ufufuo kumbe???
Hapo hapo akasikia sauti zinasema hatutakiiiii chanjooooo"gwaaaaji boy oyeeeeer" (in Mama's voice at Tegeta)
Walimdanganya kuwa atapata uteuziHata ndugu yetu Pascal Mayalla alivyotoka kwenye kamati ya maadili aliufyata, alisema bunge halina meno ila nafikiri lilimng'ata
Labda aliambiwa akaonyeshe accont zake za bankHuyu msukuma kaambiwa sio raia lini?
Hana ubavu wa kuikosoa serikali maana yeye mwenyewe siyo msafina alisemà doroth gwajima na mollel wasipojiuzuru atazidi kuwafyatua hatanyamaza, sasa tunashangaa mbn kanyamaza na wao bado wanadunda
Mtu mwenyewe hana busara atawezaje kuwashauri watu mambo yenye busara?Kazi ya kuwakumbusha na kuwasemea watanzania ameifanya kwa uaminifu mwenye macho ameona mwenye masikio kasikia corona ni hadaa. Ni busara kulinda stara yake
😂😂😂Alikuwa anaishi kwa mazoea akifikiri kuwa bado yupo na baba yake wakati sasa anaishi kwa mama wa kambo.
ALIKUMBUSHWA FADHILA ALIZOPEWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mambo yanakwenda kwaa Kasi Sana!
Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona.
Kabla ya japo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo was Corona na jitihada zote zilizokuea zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Munhu alilimaakiza au atalimaliza bila Sayansi.
Cha ajabu baada ya kibano alichope2a na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelehea au kalegezwa.
Tulitegemea gata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse.
Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO.
Askofu Gwajima upo!?
You are very delusional.Usicheze na system
Askofu wa wajinga tu huyo.Mambo yanakwenda kwaa Kasi Sana!
Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona.
Kabla ya japo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo was Corona na jitihada zote zilizokuea zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Munhu alilimaakiza au atalimaliza bila Sayansi.
Cha ajabu baada ya kibano alichope2a na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelehea au kalegezwa.
Tulitegemea gata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse.
Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO.
Askofu Gwajima upo!?
Mkuu ndio babako was kiroho au 😅😅😅Unapenda uchonganishi.....
kwenye jamii yoyote wachonganishi hawakosekani
kama huyu
watu kama hawa hawapendagi kuona mambo yametulia lazima wachokonoe chokonoe ndio furaha yao
Hata mpiga deki wa huyo mtengeneza Pfizer na Astrazeneca hana ubavu wa kukutana naye!Kuna Wakati alidai atakuwa meeting na watengeneza vaccine wa pfizer na Astrazeneca na Kila kitu watakacho zungumza ataiweka wazi.
Itakua kikao haijaisha, tuvute subra atakuja tu.
Hakuna ww ni mchonganishi hupendi kuona amani ikitawalaMkuu ndio babako was kiroho au 😅😅😅
Tulizoea kumsikia akibwata ...Sasa kaufytaa nywaaa
Nina imani habari ulisha isoma ila ulishindwa kusoma mstari katikati ya maandishiHuyu msukuma kaambiwa sio raia lini?
Kaufyata si kidogo ati...!!!!Mambo yanakwenda kwa Kasi Sana!
Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona.
Kabla ya hapo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo wa Corona na jitihada zote zilizokuwa zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Mungu alilimalia au atalimaliza bila Sayansi.
Cha ajabu baada ya kibano alichopewa na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelegea au kalegezwa.
Tulitegemea hata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse.
Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO.
Askofu Gwajima upo!?